Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,113
i see mimi ni mhalisi Kaunga yani hvi unaniona humu na kwingine ndio hivo nilivo!
so huyu bwashee wangu kusema ukweli sidhani kama ana lingine la kuzimika hapa zaidi ya mimi kuwa real me!
kaunga mi ukiniudhi nasema,ukinifurahisha nakwambia,nikitaka kulia nalia,nikiwa na mastress wala hupati kazi ya kutafuta tochi kujua nikostressed,hii inanisaidia na kuniharibia wakati mwingine!i think nipo too transper kuna muda ni kama sitaki kusomeka vile but thts me!
so kuwa hivi kunafanya vitu vingi nafanya for real!nikitaka leo kupaint the room red i see inakuwa scarlet!
nikitaka kumwaga ----- mahalihakukaliki!thts me!
lakini pia mi nayapenda mapenzi Kaunga so kwa mwny akili zake unless unatafuta kuibiwa bas jamaa anajikuta tu anakuwa teja langu!sijui kitu inaitwa kujizuia hisia zangu! pale hasa nimekamatwa,nani hataki a slut in his matrimonial bed so haina mbaya mamii!
kingine mi napenda kupika na kula(tht explains a lot sio enh)bibi yangu aliwahi kunambia njia ya kwenda moyoni kwa mwanaume inaanzia tumboni ,so huwa simwangushi bibuyangu pande hizo!
lol!yanatosha kwa leo
ila pia napena saaaaan kucheka!mi mpka uniudhi ufanye kazi ujue!yani kazi kweli! na ikitokea umefika hapo nakwambia linakurudia!af mi nsashasau siku nyiiiiiiiingi ,YAMEISHA HIVOOO utabaki unahangaika wewe!
so if this is the woman he married then am sure ,HARUKI KAMBA HAPA i see
HESHIMA KWAKO MHESHIMIWA mume wake snowhite!
SHIKAMOO MUME WANGU!:A S-heart-2:
:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
aiseeeeeeeee..... Marahaba mke wangu.....{mke wa kaka ni mke wangu pia}