Tuishitaki TPB Bank kwenye tume ya ajira

Tuishitaki TPB Bank kwenye tume ya ajira

sir.mohere

Member
Joined
May 17, 2014
Posts
17
Reaction score
2
Wana jamvi naleta ushauri huu kwenu mimI binafsi napeleka mashitaka kwenye hii bank ya posta inapotosha umma huwezi amini kinachofanyika pale ni upotoshaji wa umma mfano wanatoa nafasi za kazi ovyo ovyo bila utaratibu maalumu ili mradi waonekane wanatangaza kazi.

Mfano walitangaza nafasi za freelencer email zikawa haziend wakatoa nafasi branch morogoro kimya wakatoa BOF musoma mbeya branch 14 hapo hapo hata dead line haijaisha wametoa nafasi arusha je hii ni halali je hyo anaetangaza kazi hiyo bank amesoma.

Kweli au ndo wale wanaochukuliwa na mjomba form four leaver huu ni ujinga nafungua kesi na hwa jamaa na hii nafanya hivo kama raia kupinga upotoshaji wa umma yaan chombo cha serikali kinaendesha kazi zake kama matapeli huu ni ujinga na mim staukubali ujinga huu msubirie mtaona mabadiliko.
 
wana jamvi naleta ushauri huu kwenu mim binafsi napeleka mashitaka kwenye hii bank ya posta inapotosha umma huwezi amini kinachofanyika pale ni upotoshaji wa umma mfano wanatoa nafasi za kazi ovyo ovyo bila utaratibu maalumu inmradi waonekane wanatangaza kazi mfano walitangaza nafasi za freelencer email zkawa haziend wakatoa nafasi branch morogoro kimya wakatoa BOF musoma mbeya branch 14 hapo hapo hata dead line haijaisha wametoa nafasi arusha je hii ni halali je hyo anaetangaza kazi hiyo bank amesoma.kweli au ndo wale wanaochukuliwa na mjomba form four leaver huu ni ujinga nafungua kesi na hwa jamaa na hii nafanya hivo kama raia kupinga upotoshaji wa umma yaan chombo cha serikali kinaendesha kazi zake kama matapeli huu ni ujinga na mim staukubali ujinga huu msubirie mtaona.mabadiliko




Career with us Join the Collaborative Business Experience. Think as a team. Enjoy work like never before.
Please submit your cover letter and resume to recruitment@postalbank.co.tz
Please do not follow us up on any CV submitted unless specifically asked to do by TPB Management.

Tanzania Postal Bank is an equal opportunity employer.



Usisahau kutupa mrejesho !
 
Wana jamvi naleta ushauri huu kwenu mimI binafsi napeleka mashitaka kwenye hii bank ya posta inapotosha umma huwezi amini kinachofanyika pale ni upotoshaji wa umma mfano wanatoa nafasi za kazi ovyo ovyo bila utaratibu maalumu ili mradi waonekane wanatangaza kazi.

Mfano walitangaza nafasi za freelencer email zikawa haziend wakatoa nafasi branch morogoro kimya wakatoa BOF musoma mbeya branch 14 hapo hapo hata dead line haijaisha wametoa nafasi arusha je hii ni halali je hyo anaetangaza kazi hiyo bank amesoma.

Kweli au ndo wale wanaochukuliwa na mjomba form four leaver huu ni ujinga nafungua kesi na hwa jamaa na hii nafanya hivo kama raia kupinga upotoshaji wa umma yaan chombo cha serikali kinaendesha kazi zake kama matapeli huu ni ujinga na mim staukubali ujinga huu msubirie mtaona mabadiliko.
Siku hizi watu wanatuchezea sana watafuta kazi, kama mkuu you have the means and know how kuwaadabisha hao watu please do it for brothers and sisters out there!
 
Hao jamaa wapumbavu sana wanaposema wataita ndani ya muda kazaa then wanaita hata baada ya muda huo maana ake nini? waache ubabaishaji bwana.
 
Wana jamvi naleta ushauri huu kwenu mimI binafsi napeleka mashitaka kwenye hii bank ya posta inapotosha umma huwezi amini kinachofanyika pale ni upotoshaji wa umma mfano wanatoa nafasi za kazi ovyo ovyo bila utaratibu maalumu ili mradi waonekane wanatangaza kazi.

Mfano walitangaza nafasi za freelencer email zikawa haziend wakatoa nafasi branch morogoro kimya wakatoa BOF musoma mbeya branch 14 hapo hapo hata dead line haijaisha wametoa nafasi arusha je hii ni halali je hyo anaetangaza kazi hiyo bank amesoma.

Kweli au ndo wale wanaochukuliwa na mjomba form four leaver huu ni ujinga nafungua kesi na hwa jamaa na hii nafanya hivo kama raia kupinga upotoshaji wa umma yaan chombo cha serikali kinaendesha kazi zake kama matapeli huu ni ujinga na mim staukubali ujinga huu msubirie mtaona mabadiliko.

mkuu pale hata maelewano hakuna kbs!viongozi wa pale kila mmoja na lake!!
 
Nami nakuunga mkono Mzalendo mwenzangu ma HR wa aina hii ndio warudisha hata maendeleo ya nchi nyuma.Tupate shida kwenye taasisi binafsi halafu tena hawa wanatuletea UPUMBAVU kwenye taasisi ya umma hatutakubaali ni lazima wawe wazi kama misingi ya demokrasia inavyosema.
 
Fool 😕, hawana maana mkuu nadhani tumtafute mama G. Maana :thumbdown::thumbdown:
 
Wana jamvi naleta ushauri huu kwenu mimI binafsi napeleka mashitaka kwenye hii bank ya posta inapotosha umma huwezi amini kinachofanyika pale ni upotoshaji wa umma mfano wanatoa nafasi za kazi ovyo ovyo bila utaratibu maalumu ili mradi waonekane wanatangaza kazi.

Mfano walitangaza nafasi za freelencer email zikawa haziend wakatoa nafasi branch morogoro kimya wakatoa BOF musoma mbeya branch 14 hapo hapo hata dead line haijaisha wametoa nafasi arusha je hii ni halali je hyo anaetangaza kazi hiyo bank amesoma.

Kweli au ndo wale wanaochukuliwa na mjomba form four leaver huu ni ujinga nafungua kesi na hwa jamaa na hii nafanya hivo kama raia kupinga upotoshaji wa umma yaan chombo cha serikali kinaendesha kazi zake kama matapeli huu ni ujinga na mim staukubali ujinga huu msubirie mtaona mabadiliko.
Nafikiri wanatumia njia ya kutangaza ajira KJITANGAZA BIASHARA YAO
 
Kweli Tz tuna tatizo la nepotism bado hawa watu wa tpb waache ujinga na upumbavu huo,
 
Kazi ipo sana na hii benki uchwara:
nimewahi kufanya kazi hapo japo kwa muda mfupi ila nikatimua zangu kutokana na poor management, corruption na undugu uliokithiri.
Wafanya kazi hawathaminiwi hata kdogo mishahara kduchu kazi ngumu wanabaki kupiga tai na mashati meupe tu.
Ukitaka kupata kazi lazi pichu ivuliwe ama uwe umetoa kitu kdogo!
SABASABA MOSINGI (MD) na PETER MAPIGANO (HRM) kuweni makini sana na kazi zenu hiyo bank si ya kwenu na familia zenu ni ya watanzania wote.
 
Nadhani kama alivyesema mdau hapo juu, kuwa hawa tpb wanatafuta wateja kishamba wanaitangaza benki yao kupitia matangazo ya kazi.
 
Back
Top Bottom