Mlitika
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 457
- 260
Hi JF Members.
Mkulu ndo huyo keshaunda Tume ya Katiba. Fikra zetu wakati huu zisiwe tena kuijadili tume bali kujiandaa kuipa majukumu. Ndiyo maana nafungua peji hapa chini.
Ili tuendelee tunahita misingi ya kikatiba yenye kutujengea nidhamu inayotulazimisha kuelekeza rasililmali tulizonazo katika shuguli za maendeleo ya kweli na ya mipango mkakati ya muda mrefu. Hatuwezi kufanikiwa katika hili bila kwanza kuwa na katiba itakayobomoa kwa lazima lelemama hii ya kimaadili inayoruhusu serikali zetu na watumishi wake kuelekeza rasilimali katika mambo ya kifahari na ya muda mfupi. Namna pekee ya kuisaidia serikali ni kuijengea mazingira ya kikatiba yanayoifanya iwajibike kwa wananchi; na siyo kinyume chake. Katiba tunayoihitaji inapaswa kuchukua sura hii:
MUUNGANO
Hii kitu isitishwe kwanza maana longolongo za upande mmoja zimetuchosha MNO sisi wa upande mwingine, na hii inagharama kubwa na imedidimiza mno maendeleo ya nchi hii. Upande utakaoumisi upande mwingine basi upewe dirisha la kuaplai ndoa; then MOU itengenezwe afu tupige kura za maoni na hoja ipite baada ya asilimia 80 kila upande kuafiki ndoa.
MUUNDO WA SERIKALI
TUME YA UCHAGUZI
Jukumu hili ni nyeti hivyo mwenyekiti wa tume lazima achaguliwe na WANANCHI au na wawakilishi wao yaani madiwani na wabunge wote. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi awe answarabo kwa Bunge.
MAFAO (BENEFITS) ZA WATUNISHI WA SERIKALI NA UMMA
Matumizi ya kifahari yapigwe ban kikatiba. Mfano: Magari ya kifahari aina zote serikalini iwe taboo.
Nawasilisha.
Mkulu ndo huyo keshaunda Tume ya Katiba. Fikra zetu wakati huu zisiwe tena kuijadili tume bali kujiandaa kuipa majukumu. Ndiyo maana nafungua peji hapa chini.
Ili tuendelee tunahita misingi ya kikatiba yenye kutujengea nidhamu inayotulazimisha kuelekeza rasililmali tulizonazo katika shuguli za maendeleo ya kweli na ya mipango mkakati ya muda mrefu. Hatuwezi kufanikiwa katika hili bila kwanza kuwa na katiba itakayobomoa kwa lazima lelemama hii ya kimaadili inayoruhusu serikali zetu na watumishi wake kuelekeza rasilimali katika mambo ya kifahari na ya muda mfupi. Namna pekee ya kuisaidia serikali ni kuijengea mazingira ya kikatiba yanayoifanya iwajibike kwa wananchi; na siyo kinyume chake. Katiba tunayoihitaji inapaswa kuchukua sura hii:
MUUNGANO
Hii kitu isitishwe kwanza maana longolongo za upande mmoja zimetuchosha MNO sisi wa upande mwingine, na hii inagharama kubwa na imedidimiza mno maendeleo ya nchi hii. Upande utakaoumisi upande mwingine basi upewe dirisha la kuaplai ndoa; then MOU itengenezwe afu tupige kura za maoni na hoja ipite baada ya asilimia 80 kila upande kuafiki ndoa.
MUUNDO WA SERIKALI
- Makamu wa raisi ndiyo atakuwa Waziri Mkuu
- Wizara 15 zinatutosha sana. Sifa za kuwa waziri zibainishwe.
- Jukumu la uteuzi wa Mawaziri na wakuu wa mikoa (ambao wataitwa Wakurugenzi wakuu wa Mikoa) apunguziwe raisi. Utaratibu utengenezwe atakaofuata raisi katika kuteua Mwanasheria mkuu, waziri mkuu, wakuu wa majeshi, ......
- Wakuu wa wilaya hawahitajiki; Kurugenzi zinatosha. Sifa za wakurugenzi zibainishwe then wawe wanaaplai kazi kwa ukomo wa miaka mitano tu then wanaaplai upya na wapo answerable kwa Mkurugenzi mkuu wa mkoa (MMM). MMM atakuwa hana majukumu ya kisia bali ni kumonita maendeleo ya kurugenzi zake.
- Iwepo nafasi ya Mkurugenzi Mkuu Taifa (MMT) ambaye jukumu lake ni kumonita wakurugenzi wa mikoa, (MMM's). Huyu ni kama makamu waziri mkuu, ila anashughulikia kurugenzi/mikoa na waziri mkuu anadili na politics na ni mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri.
TUME YA UCHAGUZI
Jukumu hili ni nyeti hivyo mwenyekiti wa tume lazima achaguliwe na WANANCHI au na wawakilishi wao yaani madiwani na wabunge wote. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi awe answarabo kwa Bunge.
MAFAO (BENEFITS) ZA WATUNISHI WA SERIKALI NA UMMA
Matumizi ya kifahari yapigwe ban kikatiba. Mfano: Magari ya kifahari aina zote serikalini iwe taboo.
- VX inamtosha sana rais. Mikoani atumie helikopa na hahitaji msururu wa magari ya waambata.
- Gari la Makamu wa Raisi/Waziri Mkuu hadhi ya Toyota Sequoia inatosha sana.
- Mawaziri, MMM's, Wabunge: Prado (kaulizeni kwa wenzetu hapo Kenya)
- Wakurugenzi wa wilaya: Rav4.
Nawasilisha.