Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
^^
But lara 1 cheti cha ndoa hakikupi guarantee ya ndoa yenye furaha..i.e umemkataa mnae-match nae kwa kigezo cha kukunyima harusi tu.
Huoni kuwa wapo waliofanyiwa harusi za gharama lakini bado wanasota?
Cc. Heaven on earth Ablessed @FP @Cynithia Chriss
^^
Sidhani kama furaha ilikuwa kwenye mawazo yake; kwake na kwa wengi ni SECURITY zaidi. Halafu by the way things are, looks like ni wanawake tu ndio tunaoshinikiza ndoa (commitment) na ndio maana dhana ya kufujwa inaingia; sijui sisi hatuwafuji au hatuwapotezei muda ninyi?????