Tuisadie CHADEMA -2025


Kama tusingeshiriki nani angejua tumeibiwa? Au nani angeolewa chumba cha kupigia kura. Tuko mbele kiakili sio maboya
 

Ushaonyeshwa hapo kuwa watu wamepita bila kupingwa unasema kuhusu idadi ya wabunge sasa na kipindi cha nyuma? Wewe kichwani umejaza kamasi. Kabla haijawahi kuona karatasi za kura zilipopigwa zikaingizwa na police kwenye kituo. Hakuna wabunge walipita bila kupingwa. Unafananisha na kipindi ambacho ccm hawakuehesabu kura hata moja?
 

Hao waongozi huwa wanafanya kampeni na wanashida uchaguzi. Wewe unataka waje wengine kawapigie kura hao wapya.
 

Kuwa wewe mpinzani si ushajua udhaifu?
 
ni hofu au kitu gani? kwa nini chadema tu?, kuna nccr, act nk. hata huko mnaweza kwenda mkiona cdm haieleweki.

Sijui tumewaomba waje kwenye chama cha kihuni? Si waende ccm inagawa mpaka hela [emoji23][emoji23]
 
Wewe tafuta chama kingine cha kukishauri. Hatuwezi tumia akili zako zimejaa kamasi
Wewe siyo chadema.
Sisi wanachadema Ni waelewa, tunapokea ushauri, tunautafiti na kuuganyia kazi.
Ahsante Rebecca kwa ushauri.
Usitishwe na wanaokupinga, si wanachadema hao, Kwani wamekuonesha kadi zao?
Hayo Ni mapandikizi ya ccm, yapo kwa ajili ya kuvuruga mikakati yoyote ya cdm.
 
Chadema inawakati mgumu Kwa sasa ni ngumu kuamini watu wapya wakiendeshe chama wewe mwenyewe umeona mikaa mitano hiii vijana wadogo waliaminiwa na chama na wakapewa nafasi pale ambapo hawakuwa na chochote Ila ndyo walikuja kuwa wasaliti wakubwa WA chama wakina halima mdee ambao tulijua ndyo nguzo ya uaminifu kwenye chama ndyo wamekuja kuasi maamuzi ya chama kikuwa saivi ni kurudisha Imani Kwa wanachama na kuvutia wanachama wapyaa
 
Nom sense kama makamu mwenyekiti alirubuniwa na kwenda ccm unaisi chadema ni wajinga wake tena kuamini watu kizembe zembe vyama vingi vimepotea sababu iyoo slaa alikuwa CCM damu ni ngumu kumpa uenyekiti naye ni wale wale Tu mwenyekiti ajaye saivi ni lissu baada ya mbowe chadema si wajinga wajinga kama vyama vingine
 
Huo ni mwaka wa CHADEMA wakikosa hapo chama kifutiwe usajili
 
Tatizo la umamluki ni pana kuliko unavyodhania na usilichukulie rahisi rahisi mkuu.

Umdhaniaye ndiye siye na usiyemdhania ndiye kumbe siye!
Kuna mtu kama mwwnyekiti Mrema wa 95 aweza kuwa ni pandikizi la Sisiem?

Huyo Mbowe ana kinga gani ya kutokuwa mamluki na akashindwa kukisaliti Chadema?

Unakumbuka mchakato wa kumkodisha makapi Lowasa kugombea Urais ilikuwaje?

Kalaga bhaho!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…