Wana jukwaa hili la elimu ningependa wote tuige mfano wa hivi vyuo hapa Tanzania ambavyo havijihusishi katika kunadi uwezo wa vyuo vyao huku wahitimu wao waking'ara kitaifa na kimataifa katika utendaji kazi wao,vyuo hivyo vya kuigwa ni ARDHI,SUA,SUZA(STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR),MUHAS NA HKMU(HUBERT KAIRUKI).