Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Pole sana, JF sasa haina usalama hata kidogoHaya sio maelezo yangu , mbona yamechakachuliwa? nani kaniibia password yangu?
Pole sana, JF sasa haina usalama hata kidogoHaya sio maelezo yangu , mbona yamechakachuliwa? nani kaniibia password yangu?
JF is not a safe place at all.....login for your own risk...hawa MODS ni agent wa serikali....mara ngapi Invisible ameweka doc za siri ? Leo imekuwa kosa kwa Never....its disgusting na hawa MOD.....wanapenda habari za Umbeya....agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
JF is not a safe place at all.....login for your own risk...hawa MODS ni agent wa serikali....mara ngapi Invisible ameweka doc za siri ? Leo imekuwa kosa kwa Never....its disgusting na hawa MOD.....wanapenda habari za Umbeya....agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Pole sana, JF sasa haina usalama hata kidogo
Usalama wetu JF ni mdogo sana
Una ona hawa jamaa sijui wameamrishwa na nani wafanye hiki
never
Banned
Never popote ulipo nitakuazima ID nyingine maana ninazo nyingi!!
Mkuki kwa Nguruwe. Kila siku humu Jf tunaona nyaraka mbali mbali za siri na watu hufurahia kuzidownload na kuzisoma na kuchangia kwa bashasha sana, sasa leo imetoka report ya mtuhumiwa na ushahidi umemwagwa live eti watu wengine wanaonesha kumlinda. Ivi huo usalama kumbe mnautaka kwa wana CDM waharifu? hapa dhana ya dhati ya upambanaji itakuwa hakuna
Habib Mchange awashtaki tiGO kwa lipi? Kwamba taarifa zake ziko nje? Kwa kufanya hivyo anathibitisha kuwa alituma hizo fedha kwa watu hao na hivyo atakuwa anathibisha tuhuma za rushwa dhidi yake. Ningemshauri Mchange, na wengine humu, kuwa taarifa za namna hii zinapotoka ni vizuri kushughulika na ukweli/uongo zaidi ya haki ya mteja. Nimesoma mahali pengine kuwa katika kesi hii upo pia ushahidi wa watu waliotumiwa fedha. Sasa kama ni hivyo, CDM wakishtakiwa, watakuja tu na ushahidi wa hao watu halafu wataomba mahakama iamuru tiGO waje na vielelezo kuthibitisha. Vielelezo hivyo vyaweza kuwa hivi tunavyovyiona humu na vitaletwa mahakamani kihalali tu.
Kwa hiyo kwa Mchange nadhani suala ni je alituma fedha kwa watu hao ama la, na sio taarifa hizi zimetolewaje.
Chadema haikumbatii watoa rushwa ndiyo maana ikamuengua habibu mchange! Tunge nyamaza mngesema hawa ni wale wale tumesema mnasema tunataka sifa, sasa mnataka tufanyeje
nahisi zito anahusika 100% na kama yumo ataona
wala tigo hawajui kama kimenuka huku..........siku hizi ni rahishi sana...bsiku hizi technolojia imerahisisa sana mambo....juzi niliomba namba ya nape hapa nikapewa..kwa kutumia namba ile naweza kusikiliza calls zote, read meseji,(na ninazo mpka sasa) na kutrack mahali alipo...na kwa kutumia akaunti yake ya facebook nimefanikiwa kuingia hadi kwenye email zake...na kujua mambo mengi..na baadhi niliweka hapa na baadae kuondolewa na mods..
so siku hizi chochote waweza fanya.......kuna wengine nimeona kule kweye jukwaa la technolojia wanaomba kuchakachuliwa modem zao halafu wanaweka IMEI na model number ya simu...bila kujua kuwa IMEI ndo simu yenyewe...naweza kuilock simu yako popote paleau kuifanya chichote kile........
so never kafanya kweli.....
Acha unafiki zitto, tunaomba na wewe uangalie kwenye simu yako tarehe 3 mwezi may 2011, hii kumbukumbu namba ya MPESA uliyomtumia mmoja wa wagombea aliyeenguliwa ilikuwa ni ya nini??? Kumb namba ni hii hapa - B66FE724.
Ukiendelea nitaweka mpaka kiasi cha pesa ulichotuma. Najua ulikuwa humuungi mkono heche tangu uchaguzi wa mwaka 2009 ulioharibika. Tafadhali sana iache BAVICHA hii ya kwanza ya kitaifa ifanye kazi.
Kwa hili mods watoe maelezo.alichofanya never si kipya humu.binafsi imenistua sana! What is going on?yaani never kafungiwa...!? Kwa kosa lipi au mmezibitisha kuwa aliyoyasema siyo kweli..tunahitaji maelezo
Jamani naomba mnisamehe mbona ushahidi wenyewe mm siuoni, naomba mnisaidie niuone nimevurugikiwa na hizi postKamanda nilichoweka hapo ni ushahidi juu ya kotoa rushwa kwa mchange, so hakuna mahali nilisema zitto ila nilisema nitakuja na ushahidi mwingine wa Mpesa na wa video ambao ulikuwa unafanyikia bondeni bar, na alikuwa kiongozi wa mipango ni shibda so subiri uone vitu mkuu
Usalama wetu JF ni mdogo sana
Una ona hawa jamaa sijui wameamrishwa na nani wafanye hiki
never
Banned
Never popote ulipo nitakuazima ID nyingine maana ninazo nyingi!!