Tuhuma za Mengi kwa jeshi la Polisi zilizimwaje?

We are so cowards, wanasheria, wanaharakati wa haki za binadamu, na hata Mengi mwenye kimyaaa!? Mtu akikukanyaga kidole cha mguu, usipopiga kelele atandelea kukuumiza. Watanzania tunatakiwa kujenga utamaduni wa kudai haki zetu.
 
Ndo adbahu xa kibkubwa hizo angekua constable angefukuzwa kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…