Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,206
- 33,223
unajua kwa nini walitaka kumlipua mengi?
Kilikua ni kipindi cha kampeni kwa siri mengi akiwa ni paymaster wa CDM na media zake zikiegemea cdm ilihitajika kizibiti mwendo kumcontain mengi issue ikavuja.
Mengi aliendelea kuegemea cdm akiamini kitashinda ni mpaka matokeo yalipotoka ndo akageuka na wakaizima issue
Kilikua ni kipindi cha kampeni kwa siri mengi akiwa ni paymaster wa CDM na media zake zikiegemea cdm ilihitajika kizibiti mwendo kumcontain mengi issue ikavuja.
Mengi aliendelea kuegemea cdm akiamini kitashinda ni mpaka matokeo yalipotoka ndo akageuka na wakaizima issue