Kuna kila sababu ya jeshi la polisi kujengwa upya!majambazi wengi ni marafiki wa polisi.Wauza gongo wengi ni marafiki wa polis.Wauza madawa ya kulevya wooote.Matapeli wote ni marafiki wa polis.VIBAKA wote ni maadui wa polisi.YOTE NISEMAYO,NDO NAYAONA HUKU NILIPO JAMANI.sina iman na jeshi langu milele daima aaamen!