Tuhuma za kutisha za Dr. Munga Askofu KKKT -DKMS

Tuhuma za kutisha za Dr. Munga Askofu KKKT -DKMS

Status
Not open for further replies.
Migogoro kama hii si afya kwa kanisa na inaharibu taswira nzuri ya KKKT. Ni vyema viongozi wakuu wa kanisa wazifanyie uchunguzi tuhuma hizi na kuchukua hatua pale panapohitajika kufanya hivyo.
 
Askofu kwa tuhuma hizo apishe nafasi, uchunguzi ufanyike. Awe mtii kwani mwenzake wa Arusha alishupaza shingo sakata la Coridor Springs akaishia futi sita
 
Aingie kwenye siasa basi.. Mbona kilichoandikwa hapo ni facts tupu?

Jr[emoji769]
Sasa Mshana umeweka tuhuma halafu unasema zilizoandikwa hapo ni facts tupu si ungesubiri Askofu azijibu ndio ujue uzito wa hizo unazoita facts.

Binafsi nitakuwa wa mwisho kuamini Askofu Munga anahusika na hayo, tatizo la Munga ni kuisema serikali kwa mabaya wanayofanya kwa raia wake bila kificho.

Wanataka kumuondoa kwenye nafasi yake ili wamfunge mdomo, hizo tuhuma kama zilikuwepo miaka yote walisubiri nini mpaka waje kukurupuka leo?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshana hii barua ni Trash. Unaona kabisa walioandika wana Chukinna Dk.Munga. Haya ni majungu na hakuna ushahidi wowote wa wazi. Hapa ni siasa za Dk. Munga ili kuzima asikosoe serikali.

NB:Mambo ya kuchafua kanisa na Baba Askofu Munga. Mambo ya kanisa yaishie huko ukiona kabisa kanisa la KKKT hakufai basi hamia Makanisa mengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii sio barua ya siri na tuhuma zake ziko wazi.. Kama ni aibu keshajiaibisha kupita maelezo hata kabla ya hii barua.. Na kwa taarifa yako hii barua imesambaa sana huko kwingine
Sasa wewe Mshana Barua za Kanisa unazileta huku JF ili upate nini? Si hekima ulivyofanya. Hii barua ungeiacha huko ilikotumwa. Kuwa na Hekima kama Yusufu aliposhtukia Mariamu ana mimba bila kuhusiana naye. Unamuabisha Baba Askofu Munga Mtumishi wa Bwana.

Jr[emoji769]
 
Munga alipomteua mke wake kuwa provost wa SEKOMU, mwanamke ambaye hana sifa ya kuwa mkuu wa chekechea nilijua tu. SEKOMU kwisha.

Sasa atakua amebaki na ule mradi wa ile Lodge pale Lushoto. Mbona ni DKMS tu ndio kuna dinari.
 
Hii sio barua ya siri na tuhuma zake ziko wazi.. Kama ni aibu keshajiaibisha kupita maelezo hata kabla ya hii barua.. Na kwa taarifa yako hii barua imesambaa sana huko kwingine

Jr[emoji769]
Kwahiyo nisahihi khisambaza zaidi??

Mi sidhani mambo ya ndani ya kanisa lenu kuweka jf INA make sense,okay tumesoma sasa tunawasaidiaje ?? Zaidi ya kuendelea kulidhalilisha kabisa lenu nasisi kuwaona ni wajinga !!!

Madhaifu ya watumishi myatatue kwenye vikao vyenu au vyombi husika vipasavyo Fanya hivo.

Maana ninachoona hapa kanisa linageuka uwanja wa siasa huku kukiwa na kambi kadhaa za mashambulizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii migogoro ya kuwakataa viongozi wenu nyie KKKT ni ya miaka yote, jitafakarini kwanza.

Lakin kwa sisi watanzania wa kawaida Dr. Munga tunamkubali sana na tunajua uwezo wake wa akili,hayo mengine mnayajua nyie wanadayosisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawawakatai kwa bahati mbaya. Mimi nimeshuhudia wachungaji wangu zaidi ya sita niliokuwa nawaheshimu sana ila pindi wanapotaka kuhamishwa vituo wanagoma na kulega migogoro kiasi kwamba DAYOSISI inaamua kuwafukuza na wanaanzisha huduma zao.

Tatizo ni maslahi KKKT ina sehemu ambazo ukipelekwa kufanyia kazi zina pesa nyingi kuliko kazi ya uwaziri unaweza usiamini kwa haraka haraka ila ndivyo ilivyo.
 
Hapana lazima kuwe na uwazi na mijadala.. Viongozi wa dini sio malaika nao wana madhaifu kama wengine...
Hapa naona wengi wamekimbilia kumtetea bila kujiridhisha... Mimi ni mlutheri na nimekulia Huko kwenye hiyo dayosisi... Hakuna alichosingiziwa hapo. Tlg,

Jr[emoji769]
 
Hapana angalia historia ya matukio yake ni way back 2009

Jr[emoji769]
Mimi nilisoma Bangala Seminary....haya uliyoandika ni kweli tupu....tangu miaka ile hizi tuhuma zilikuwepo ila tu kwa wakati ule alikuwa hagusiki kabisa....ukimuongelea ni imekula kwako.... He is very powerful kule NORTHERN EASTERN DIOCESE....watu wanajua makosa yake but unafunguaje mdogo na akujue kuwa wewe ndo umesema.....

Dini hizi bhana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana lazima kuwe na uwazi na mijadala.. Viongozi wa dini sio malaika nao wana madhaifu kama wengine...
Hapa naona wengi wamekimbilia kumtetea bila kujiridhisha... Mimi ni mlutheri na nimekulia Huko kwenye hiyo dayosisi... Hakuna alichosingiziwa hapo

Jr[emoji769]
Kwa hiyo unamleta asulubiwe na JF

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua hapa jukwaani wanamfahamu Munga wa mitandaoni mkosoaji wa serikali hii.. Hawamjui Munga katika uhalisia wake
Mimi nilisoma Bangala Seminary....haya uliyoandika ni kweli tupu....tangu miaka ile hizi tuhuma zilikuwepo ila tu kwa wakati ule alikuwa hagusiki kabisa....ukimuongelea ni imekula kwako.... He is very powerful kule NORTHERN EASTERN DIOCESE....watu wanajua makosa yake but unafunguaje mdogo na akujue kuwa wewe ndo umesema.....

Dini hizi bhana

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom