Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Wewe Ben na umeenda nje ya mada kabisa........? Yani watu tunajadili jinsi ya kuokoa viongozi wetu wapendwa wa CDM alafu ww unaenda out of key, are u serious? Au na ww unafurahishwa na Viongozi wako kutishiwa vifo? Enewei unajifanya eti unaijua sana JF pia unadis kuwa imepoteza quality, najua unasema hiv kwa sababu JF ndio iliokuumbua na mbinu zako chafu za uhaini ndani ya CDM na kundi lako pamoja na yule mbunge kijana, Pia JF ndio iliofichua unafiki wako ndani ya CDM pamoja na hiden agenda zako za kutaka kuhamia CHAUMA ww na kundi lako endapo utakosa tena uongozi ndani ya CDM, Pia unadai hupendi kuona watu wakitoa habari FCBK kuja humu kwani unajua kuwa ule utumbo unaoandika fcbk na kupostiwa humu na wanamageuzi ndio unaokuumbua.
MUNGU WA ISRAEL AKUHURUMIE.
THINK BIG.
Tabia yako ya kukariri usipoacha utaleta fedheha.Nimeshachangia hii thread na nimesizitiza na kujibu post ya akina [JFMP3]Kimbunga na Philipo[/JFMP3] na afterall siyo lazima kila thread nichangieGrow up....
Nimesema members should protect JF by ignoring useless posts.Halafu hiyo project yenu ya kunichafua huku haitafua dafu mbele yangu.Eti CHAUMMA?Bado hujanifahamu vizuri mnaonyesha ufinyu wenu wa mawazo tu.Mnanijua vizuri ndiyo maana mmeanza kuweweseka na michezo yenu michafu mapema.You'll feel the heat na mnajua hamna uwezo wa kunizuia.
Endeleeni kushinda kwenye FCBK page na Twitter za watu.Ati huo ndiyo uanamageuzi.....ha ha haaa! Nawapa headache sana na hilo genge lenu.Kwanza hapa siyo mahala pake.
Dude get your facts right. Yes, its known to all that you're an unredeemable tribalist, but calm down and stop foaming at the mouth for a quick minute
I've got better things to do than scuffle with intellectual dwarfs who think shouting is synonymous with debating.