Tuhuma dhidi ya Oluoch - CWT Taifa

Tuhuma dhidi ya Oluoch - CWT Taifa

Nina thread nzima kajaza mtu mmoja tu
 
Pole mkuu,hivi zile pesa zinazokusanywa za michango ya walimu huwa zinafanyiwa ukaguzi?
 
Kwa kweli tuhuma hizi za kuifanya bank ya walimu Private badala ya Public ni wazo la awali kabisa la Oluoch ndio maana ukitazama kwenye Document ya uanzishwaji bank ilipotua BoT, BoT waliigomea kwa kuwa ilikuwa ina u private, baadaye hekima za Msulwa na kamati yake ndio ikaweka mambo sawa walau. sasa kwa nini apewe sifa huyu Oluoch?
 
Mkuu haki kwanza

nimefurahishwa sana na ujumbe wako, kwani ni dhahiri kwamba uongozi wa CWT taifa kwa nafasi ya Naibu Katibu ni uozoooooooooooo mtupu hajitambui kabisa mbwembwe tu,

kama sio busara za wachache duhhhhhh tungekuw ana hali mbaya zaidi ya hii tyuliyo nayo sasa ingefanana na utawala wa Idi amini.
 
Heri ya pasaka Mwl Oluoch Naibu katibu Mkuu wa Chama Cha Walimu Tanzania (CWT), mimi ni shabiki wako sana lakini kinachonichanganya ni kitu kimoja, kwamba ninyi viongozi CWT taifa hapo juu mpo watano, sijawahi kuona tuhuma hata moja ikielekezwa kwa kiongozi mwingine yeyote kati yenu isipokuwa wewe tu; mara waseme nafasi za uwakilishi wa chama kwenye mashirika unajipendekeza wewe, mara madeni yako ndani ya chama umeyafuta eti kinyemela, wakati katibu mkuu akiwa kwenye tume ya mabadiliko ya katiba, mara eti unadaiwa power-tillers ulizokopa na ambazo wewe umekiri kwamba ulikopa, hivi ukweli ni upi? Pia naomba mkuu wangu nikushauri upunguze kutoa koments mara kwa mara kwenye hii face book kwa kuwa baadhi ya hizo mimi huwa sizifurahii na naona zitakuangusha zaidi kwa mfano, hata kama wewe ni 'Think-Tank' la chama sio lazima useme, si watu wataona vitu vyako? Hata kama unataka mabadiliko ya uongozi kwenye chaguzi zinazoendelea ndani ya chama CWT huko mawilayani na mikoani sio lazima useme kwa kuwa hii Movement for Change unayoipigia debe inaweza kupanda mpaka huko taifani. Mkuu wangu jambo jingine unamipigia debe Stela Kiyabo kuwa makamu wa rais, nikiri kwamba mimi simfahamu huyu mtu ila nime-google na kusoma taarifa zake kwa lengo la kugundua ni mtu wa aina gani, hata hivyo, mtindo ambao unatumia kumpigia debe kwa mtazamo wangu utakutengenezea madui wa kudumu, naamini wewe ni muumini wa wa biblia ambapo tunaaswa "iweni na amani na watu wote", kama ana uwezo mwache aogelee mwenyewe na uwaachie wanachama uhuru wa kuchagua na kama lilikuwa ni wazo la secretariat kama ulivysema, mtanisamehe viongozi kwani hamkupaswa kuteua mtu kwa nafasi yeyote kwa kuwa wanachama wote wana haki sawa ndani ya katiba, unafikiri wanaogombea naye wanakuelewaje mpaka sasa? Na kuhusu marumbano yako na Heleni mbezi kwa maoni yangu hayana tija sio kwa chama hata kwako pia. Kwa yale ninayoyajua kuhusu wewe ninaamini kuwa unawezo wa kurejea kwenye nafasi yako lakini hoja yangu ya kwanza hapa ndio inayonipa mashaka. Pasaka njema.
 
Mh Ezekiah Oluoch umetia fora kwa kuwa kiongozi wa kwanza kufikishwa polisi kushtakiwa kwa lugha zako za matusi,kejel na dharau tangu kuanzishwa kwa CWT november 1993, Hakika wewe kiboko, inatakiwa uingizwe kwenye ktabu cha maajabu ya historia za dunia na ujeur wako utakoma mwaka huu
 
Naibu katbu mkuu Oluoch, tumesoma whatsup ujumbe ulotuma kwa kamat tendaji na zile umerusha kwa makatbu wa mikoa, shida ni kwamba husemi ukweli, hivi unafikir Helen mbezi anaweza kwenda tu kichwa kichwa akaongea na polisi ambao ni kichwa kichwa Morogoro, osterbay, au pale dsm central?

Ni lazima ana hoja za msingi ambazo kwenye whatsup yako hukusema, na kwa nin unawatisha sana walio chini yako? hasa katbu wa singda Samwel Hema aliyekutaka uchukue tahadhari ya maisha yako, naomba Oluoch nikuulize swali moja. hivi mbezi na wewe mlilishana kiapo gani ambacho mmoja wenu amekiuka? mkaishia kuzuliana uadui mkubwa
 
Kias hiki hadi kugusa masilah ya chama? wambie wanachama ukweli maana ukificha sana ukwel kuna siku utafichuka, why are you always at loggerhead Helen mbey Vs Ezekiah Oluoch? hayo yenu malizen nje ya chama na hata msipokuwepo ndan ya chama kitaendelea tu kwani ninyi ni nani bwana?

Naomba kutoa rai kwa MUKOBA, MSULWA, CHITANDA NA UTALY Naamin mna busara walau ya kumaliza swala hili, limalizeni, interest ya wanachama ni kuona maendeleo si marumbano na mnaposhndwa kumaliza hili mnajidharilisha, cwt hoyeeee. we would like to see bank flourishng as wel as the teachers development company ltd
 
MGOMBEA UNAIBU KATIBU MKUU MWL EZOLUOCH AMEAMUA KUTUMIA MAKATBU WAKE WA MIKOA NA WA WILAYA KUMFANYIA KAMPEN NA KUGAWA VIPEPERUSH TUNASEMA (hii si sawa) hawa hawatakiwi kumpigia yeyote kampen. sasa tunatoa ONYO LA MWISHO "MAKATIBU ACHEN KUMNADI OLUOCH" ACHEN, ACHEN ACHEN. Tunakusanya na kurekod matendo yote yanayofanywa na makatbu laah mahakama itusaidie tafsir ya kanuni.
 
Wadau ni kwel hii si sawa, anataka kutumia system iliyopo kumrudisha tena kwa miaka 15 Madarakan (haon burundi kukoje) OLUOCH ACHA TAMAA MWAKA HUU NI LETU MOJA NI KUKUNYIMA KURA ZETU NA KUKUTOA. UMEZID KIBURI, JEURI NA DHARAU NA CHOYO. SASA UPUMZIKE WALIMU TUMECHOSHWA NA MATUSI YAKO FB NA KUPONDA WALEMAV, UMEKENGEUKA? WAACHIE VIJANA MAHIRI, WELEDI, NA WANAOMCHA MUNGU WATUONGOZE
 
Back
Top Bottom