Tuhuma dhidi ya Oluoch - CWT Taifa

Tuhuma dhidi ya Oluoch - CWT Taifa

ukweli huyu mtu hatufai hatufai kwa lolote maana kuwa na kiongozi mbinafsi, mhuni, na mt asiye na vission ni hatari hivi juzitu ametoa kauli moja inayoonesha kabisa kudharau walimu, na wakati sisi ndo tumemwajiri ndio maana dharau yake hiyo ilimfanya mkuu wa mkoa morogoro wakat fulan amtimue kwenye kikao na kumpa dakika thelethin awe ameondoka mkoa huo ni mtu asye na kaba ya ustaarbu halifai jitu hili
 
Akiwa kama kiongozi na wenzake ktk Teachers Develop Company Limited, amefanya uharamia na ufisadi mkubwa wa kukwapua mamilioni ya fedha. Chonde chonde walimu wa Tanzania kwa umoja wao waamke na kuamuru ufanyike uchunguzi (investigation) ktk TDCL kwa nin mnaonea walimu nch hii?
 
nilikua mkoa fulani2012 tulianza na amsha amsha namna ya kujitoa CWT ndo wakatangaza ule mgomo ule maana tuli influence baadhi ya mikoa tujitoe chamani but CWT hamna kitu wapo kimaslahi zaidi
km wapo kihuduma watangaze mgomo this year tuone
 
nilikua mkoa fulani2012 tulianza na amsha amsha namna ya kujitoa CWT ndo wakatangaza ule mgomo ule maana tuli influence baadhi ya mikoa tujitoe chamani but CWT hamna kitu wapo kimaslahi zaidi
km wapo kihuduma watangaze mgomo this year tuone[/QUOTE

Waalimu ni watu waoga as if hivyo vyeti sio vyao! Mkumkuta h'master anamkoromea mwalim wa bachelor hutoamin kamwe!! Wanatishiwa na kila mtu Nchi hii. Waalim amken, hakuna wa kuwasemea kamwe!
 
nilikua mkoa fulani2012 tulianza na amsha amsha namna ya kujitoa CWT ndo wakatangaza ule mgomo ule maana tuli influence baadhi ya mikoa tujitoe chamani but CWT hamna kitu wapo kimaslahi zaidi
km wapo kihuduma watangaze mgomo this year tuone[/QUOTE

Waalimu ni watu waoga as if hivyo vyeti sio vyao! Mkumkuta h'master anamkoromea mwalim wa bachelor hutoamin kamwe!! Wanatishiwa na kila mtu Nchi hii. Waalim amken, hakuna wa kuwasemea kamwe!

mi siogopi yeyote na afisa elimu anajua mziki wangu as long as nipo sahihi
 
Waalimu mna Chama strong kuliko chama chochote cha kitaaluma hapa Tanzania, acheni kutafutana, adui wenu ni MMOJA! Wengine mtajifanya mnaweza mnaishia kuwa wabaya kuliko huyo mnayempiga vita, siamini huyo katibu wenu anafanya maamuzi kama individual.
 
Back
Top Bottom