angakwaanga
Member
- Mar 14, 2015
- 34
- 3
- Thread starter
- #61
Inachefua sana kuona Oluoch anajiita think tank la chama, amekalia wizi wa mapesa ya chama, wakat unakuja s muda tutaweka hadharan ubadhirfu uliofanywa na huyu anajiita think tank. ni fedheha tunafanyiwa walimu hebu atoke mwaka huu akale alizoiba ukwel hatumhtaj