Utakapokuwa peka yako kaburini kama ulivyozaliwa peke,utaulizwa Mola wako nani?Dini yako dini gani?Mtume wako nani na kitabu chako kitabu gani?hapo ndipo utakapoujua ukweli,na kumbukaa utakaa mda mrefu sana kaburini,maana hata Adamu mpaka leo yuko kaburi,na hatujui kiama ni lini?na huko kuna adhabu ambayo inaitwa adhabu ya kabri
Unajua mtu ukifa kuna wengine dhambi zao zinasimama na wengine dhambi zao zinaendelea kuongezeka huku wakiwa kaburini?hizi elimu utazipata ndani ya Uisilamu tu,ingawa haumlazimishi mtu kuslimu