Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,888
Ni hivi, katika maisha huwezi kuisemea dini ya mwenzio anayoiamini siyo dini ili hali maisha yenyewe ndio haya.
Mimi nimezaliwa katika Ukristo na ninamuamini Mungu na nivyoaminishwa kuviamini. Leo hii aje Muislamu aniambie nilipo hakunifai, huyu mtu nitamshangaa. Nimepokea Sakramenti ya chakula cha Bwana, nilibatizwa, niliwekewa ishara ya msalaba kuonyesha Ukristo.
Ni ngumu sana kumhukumu mtu na dini yake, wewe siyo Mungu wake, muache akujue huko hatima yake. Wote sisi ni Watanzania, udini na ukabila siyo tija yetu kugombana, tuishi kwa umoja.
Japo Waislamu wanafundishwa misikitini kuwa sisi ni watu wa ajabu sana, sisi ni makafiri kwa hiyo waishi na sisi kiakili, huo siyo ukweli. Jaribuni kutoa machafu katika mioyo yenu, muwe na mioyo misafi kuhusu wanadamu wenzio.
Siku njema, angalieni hiyo video.
Mimi nimezaliwa katika Ukristo na ninamuamini Mungu na nivyoaminishwa kuviamini. Leo hii aje Muislamu aniambie nilipo hakunifai, huyu mtu nitamshangaa. Nimepokea Sakramenti ya chakula cha Bwana, nilibatizwa, niliwekewa ishara ya msalaba kuonyesha Ukristo.
Ni ngumu sana kumhukumu mtu na dini yake, wewe siyo Mungu wake, muache akujue huko hatima yake. Wote sisi ni Watanzania, udini na ukabila siyo tija yetu kugombana, tuishi kwa umoja.
Japo Waislamu wanafundishwa misikitini kuwa sisi ni watu wa ajabu sana, sisi ni makafiri kwa hiyo waishi na sisi kiakili, huo siyo ukweli. Jaribuni kutoa machafu katika mioyo yenu, muwe na mioyo misafi kuhusu wanadamu wenzio.
Siku njema, angalieni hiyo video.