akiongea jana makao makuu ya cuf buguruni Prof Lipumba amesema endapo Rais kikwete ataendelea kuziba masikio, baada ya mawaziri wanane kutakiwa kujiuzuru na wabunge ambao ndio sauti ya wanainchi sasa tunamuwajibisha yeye kwa kuwa yeye ndie anayeulinda ufisadi unao wafanywa na mawaziri hao. alisema Lipumba ambaye ni mwenyekiti wa jopo la wanauchumi Duniani.