kicheche999
Member
- Apr 23, 2012
- 47
- 16
Baada wa Wamisri kuandamana nini kimefuata?Naona hali ya nchi hiyo imekuwa mbaya kuliko kipindi cha urahisi wa mubaraka.Sio maandamano yote yanayoleta tija.
Mie nasema Ijumaa sintokuwepo ntakuwa kwenye mihangaiko natafuta ugali wa familia yangu. Nyie wote mnao andamana mmeisha shiba
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda hapa nchini hivi sasa inabidi kwa kweli wananchi tuchukue hatua.
uandamane ili iweje, yaani unataka wananchi waache shughuli zao za kulijenga taifa ili washiriki huo upuuzi. Jaribuni muone. Kama manataka kutikisa kiberiti muone kama kina njiti, siku hiyo kitawaunguza.
.
"wasiosoma ni chakula cha wasomi".
Mie nasema Ijumaa sintokuwepo ntakuwa kwenye mihangaiko natafuta ugali wa familia yangu. Nyie wote mnao andamana mmeisha shiba
Hii nimeipendaaa...
Nyie subirini muwe washangiliaji pindi mapinduzi yatakapo tokea,msilete umbea waku katisha watu tamaa.Hii nimeipendaaa...
Mie nasema Ijumaa sintokuwepo ntakuwa kwenye mihangaiko natafuta ugali wa familia yangu. Nyie wote mnao andamana mmeisha shiba
sie wenye njaa tutajitokeza,bora kufa kwa risasi nikiwa nadai haki yangu kuliko mateso ya njaa kisa wewe ushiba pekee yako.unasema unaenda kusaka ugali au unaenda kucheza dili lingine kabla hatujawafilis
"Moyo wa Ukombozi" ni fikra ya kuwafikiria wengine,ni kujitolea leo ili kesho watu wengine wanufaike. Hebu tuamke, tuwafikirie wengine wa kizazi kijacho,tusipothubutu leo basi tunachofanya ni kuwalundikia maumivu na madeni yasiyolipika kizazi kijacho. Haya shime'', zamu hii ni yetu baada ya Mwalimu na wenzake kuthubutu na kutupa fursa tuliyonayo leo kama Watanzania huru, sasa tuinuke tuunganishe myoyo,misuli na akili timamu ili tuimarishe Ukombozi tulioachiwa na Waasisi wa Taifa hili.
Kugoma kufanya nini?
Nonesense. Shame on you stupid bastard.
Tuko pamoja sana Zandrany maana huu ndio moyo unaotakiwa kwenye kuikomboa nchi hii, tafadhali kaa tayari tutakapopeana habari kamili kwamba mikakati yetu itakuwaje ili kufanikisha maandamano haya ya kuishinikiza serikali kufanya mabadiliko yenye tija.
matusi ya nini mkuu..kama una hamu na virungu si uandamane tu!!
Uandamane ili iweje, yaani unataka wananchi waache shughuli zao za kulijenga Taifa ili washiriki huo upuuzi. Jaribuni muone. Kama manataka kutikisa kiberiti muone kama kina njiti, siku hiyo kitawaunguza.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
wajenge taifa kwa kukusanya kodi ela mle tukiongea iwe kosa..craap