Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,529
- 93,103
Kutoka Mwanza kwenda Geita ni karibu kuliko kutoka Chato kwenda Geita.Hivi pale ndege hazitui siku hizi?
Magufuli alikuwa zaidi ya shetani.
Kutoka Mwanza kwenda Geita ni karibu kuliko kutoka Chato kwenda Geita.Hivi pale ndege hazitui siku hizi?
Mifugo hapana ni matumizi mabaya ya Kodi zetu.Angalau wakulima waanikie dagaa, samaki,na mazao ni sahihi Ili nyasi zisioteTULiKubaliana sehemu ya mifugo kupumzikia, au tumebadili matumizi tuliyokubaliana.
Tuma picha mnavyoanikaHuyu mleta mada anataka sisi wananchi wa Chato tukose sehemu ya kuanikia nafaka.
Uwanja wa jeshi tu hapo, JWTZ.Wengi tunafahamu kuwa kujenga uwanja wa ndege Chato lilikuwa ni jambo la ajabu kiuchumi na ukanda mbaya sana. Jambo lisilopaswa kutokea tena.
Lakini uwanja ule tusiuache uoze, ni pesa nyingi zimetumika. Napendekeza tuufanye kuwa chuo cha urubani. Serikali na watu binafsi wajenge shule za urubani maeneo hayo. Nchi inahitaji marubani, kuanzia ndege ndogo za kunyunyiza dawa mashambani na kuua nzige hadi wa kurusha dreamliner.
Naona hilo litakuwa ni matumizi mazuri ya uwanja ule.
Kama kwa Sasa mnauona hauna maana,baadae mtajua jamaa alikuwa ginius,sio Kama ww unayewaza umbali wa mita moja.aliye leta mada ni ginius pia ,sio Kama ww popoma!!Nadhani pia tuende mbali zaidi kwa kufanya forensic audit ya gharama za ujenzi kwani tuliambiwa mjenzi alikuwa mume mwenzake Mwendazake
Mbona tulishaomba kiwe kiwanja cha kuanikia/kukaushia mazao kwa Nishati asilia ya Jua
TULiKubaliana sehemu ya mifugo kupumzikia, au tumebadili matumizi tuliyokubaliana.
Watu hawajui tu kiwanja hicho kitafanya kazi sana hapo baadae maana mtu hawezi kutoka katoro akapa de ndege mwanza! Lakini vichwa pamzi hawawezi kuona na alhamisi unatangazwa kuwa mkoa!Mifugo hapana ni matumizi mabaya ya Kodi zetu.Angalau wakulima waanikie dagaa, samaki,na mazao ni sahihi Ili nyasi zisiote
Ndege ya mwisho kutua hapo ni ile iliyompeleka mwenye uwanja wake kijijini kwake.Labda ndege za kichawi unazungumzia na sio commercial flightWatu hawajui tu kiwanja hicho kitafanya kazi sana hapo baadae maana mtu hawezi kutoka katoro akapa de ndege mwanza! Lakini vichwa pamzi hawawezi kuona na alhamisi unatangazwa kuwa mkoa!
Hapana airtanzania inaenda mara mbili kwa wiki mkuu!Ndege ya mwisho kutua hapo ni ile iliyompeleka mwenye uwanja wake kijijini kwake.Labda ndege za kichawi unazungumzia na sio commercial flight
Katoro hata huijui ndo mji wa kibiashara! Hapo kuna wafanya biashara wengi wa kati!Wenye kumudu kupanda ndege huko awazidi wa tano,
Hayana faida hayo tena, tuendelee na yaliyopo kwa sasa.Nadhani pia tuende mbali zaidi kwa kufanya forensic audit ya gharama za ujenzi kwani tuliambiwa mjenzi alikuwa mume mwenzake Mwendazake
Nimesoma Comments nyingi za Watu hapa na Kugundua kuwa huenda Hayati alikuwa akidhani anapendwa na Watanzania wengi ila kuna Uwezekano mkubwa kuwa ndiyo alikuwa Rais aliyewahi Kuchukiwa zaidi na Wananchi wake katika Utawala wake.Wengi tunafahamu kuwa kujenga uwanja wa ndege Chato lilikuwa ni jambo la ajabu kiuchumi na ukanda mbaya sana. Jambo lisilopaswa kutokea tena.
Lakini uwanja ule tusiuache uoze, ni pesa nyingi zimetumika. Napendekeza tuufanye kuwa chuo cha urubani. Serikali na watu binafsi wajenge shule za urubani maeneo hayo. Nchi inahitaji marubani, kuanzia ndege ndogo za kunyunyiza dawa mashambani na kuua nzige hadi wa kurusha dreamliner.
Naona hilo litakuwa ni matumizi mazuri ya uwanja ule.
Mlipoambiwa ule uwanja utakosa kazi mlitukana sana. Mlitema mate mengi sana kwenye microphones!Wengi tunafahamu kuwa kujenga uwanja wa ndege Chato lilikuwa ni jambo la ajabu kiuchumi na ukanda mbaya sana. Jambo lisilopaswa kutokea tena.
Lakini uwanja ule tusiuache uoze, ni pesa nyingi zimetumika. Napendekeza tuufanye kuwa chuo cha urubani. Serikali na watu binafsi wajenge shule za urubani maeneo hayo. Nchi inahitaji marubani, kuanzia ndege ndogo za kunyunyiza dawa mashambani na kuua nzige hadi wa kurusha dreamliner.
Naona hilo litakuwa ni matumizi mazuri ya uwanja ule.