Nguchiro
JF-Expert Member
- Nov 23, 2009
- 364
- 31
WanaJF wenzangu kuna ule msemo wa "Kizuri kula na nduguyo"kuna site nilipewa kwa wale wenzangu na mie tunaweza kutafuta namna ya kujiendeleza kielimu, kupata funds kwa ajili ya project na NGOs nk si vibaya tukaitumia as you all know kila mtu ana bahati yake WWW.ADVANCE-AFRICA.COM,wish u luck