Tufurahi tuongeze siku za kuishi

Tufurahi tuongeze siku za kuishi

nameless girl

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2012
Posts
4,195
Reaction score
2,685
Mwanamke zuzu alikuwa na mchumba wake zuzu kama yeye, lakini mwishowe uhusiano ulivunjika.
Sasa huyo jamaa alikuwa akimsumbua sana kumpigia na kumtumia sms na yule mwanamke kwa simu kila siku, mpaka huyu mwanamke akawa anachukia,mwisho akaamua abadilishe laini, alipotia laini ile mpya tu akamtumia sms yule jamaa kwa kumwambia

"sasa nishabadilisha namba hutonipata tena hasidi wewe"
nae yule jamaa zuzu akamjibu
"nitahakikisha naitafuta hio namba yako mpya, hata chini ya ardhi mpaka niipate."
 
enheee.... afu muvi ya kibongo lazima wakwambie watch out for part two
 
hii muvie ya somalia, hakuna muda wa kuweka part 2
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom