Tuendelee kuwaamini wanawake ktk uongozi ?

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,415
Baada ya mkutano wa Beijing, kuliibuka misemo mingi sana ya kuuaminisha ulimwengu kwamba mwanamke akiwa kiongozi mambo yatakuwa mazuri.

Ndipo tukaja na sera ya kumuwezesha mwanamke kielimu na ile ya 50 kwa 50 ktk uongozi.

Japo bado hatujafikia 50% kwa 50% lkn tumepiga hatua sana. Tuna wakurugenzi wa mashirika wanawake, wakuu wa taasisi wanawake, vile vile mawaziri 5 wanawake, spika wa pili mwanamke na kubwa zaidi tuna rais mwanamke.

+*Je, tumeona mabadiliko/mapinduzi ktk sekta ama taasisi zinazoongozwa na wanawake?
+*Kuna jipya la kujivunia kama nchi hivi sasa ambapo inaongizwa na mwanamke, ukilinganisha na ilipokuwa inaongozwa na wanaume?

Au mambo ni yale Yale, hivyo uachane na hizi nyimbo za wanawake wakiwezeshwa wanaweza, tuzingatie akili ya mtu??

#UongoziSiyoJinsia
 
Mimi nadhani kwa sasa tuwaamini nyinyi tu watu msio na jinsia.
Maana wanaume kitambo tu hatuaminiki, na wanawake nao kwa sasa hawaaminiki.
 
kwa kuwa tu mwanamke mmoja au hata wawili wametupa kichanga chooni haimaanishi kuwa kila mwanamke ni sociopath na sadist, usijumuishe wapo wanawake wengi tu kama vile wanaume wenye upendo na uwezo wa kuwa mama/mzazi labda pia umebahatika kuwa na mama mwenye upendo na huruma …
 
Uongozi hautakiwi kupatikana kwa misingi ya jinsia, umri, rangi, ukabila n.k bali kwa merits
 
Vi nchi kama vyenu visivyokuwa na malengo yoyote hapa duniani ndo wanaamini eti mwanamke anaweza akawa kiongozi nyanja za juu
 
Tanzania kupata kazi mwanamke lazima aliwe mbususu, kupanda cheo aliwe mbususu, kuongezwa mshahara mbususu iliwe kwanza.

Sasa hata akipata nafasi kubwa kwenye ofisi huwa ile elimu yake haiendani na nafasi yake aliopo ila mbususu imemfikisha alipo.
 
Kwa kua huyu wa kwetu ame tu Disappointing haimaanishi wanawake hawafai katika uongozi.
Ingawa in general kati ya wanawake kumi wanapaswa kuwa viongozi ni wawili tu watakaofikia kilele cha mafanikio ya uongozi.
Changamoto nyingine huku kwetu ni propaganda za kisiasa, mtu ni Phd amepata nafasi ya uongozi lakini kwa mifumo ya ki ccm tunakuwa na mshangao tu.
 
Baada ya mkutano wa Beijing, kuliibuka misemo mingi sana ya kuuaminisha ulimwengu kwamba mwanamke akiwa kiongozi mambo yatakuwa mazuri.

Ndipo tukaja na sera ya kumuwezesha mwanamke kielimu na ile ya 50 kwa 50 ktk uongozi.

Japo bado hatujafikia 50% kwa 50% lkn tumepiga hatua sana. Tuna wakurugenzi wa mashirika wanawake, wakuu wa taasisi wanawake, vile vile mawaziri 5 wanawake, spika wa pili mwanamke na kubwa zaidi tuna rais mwanamke.

+*Je, tumeona mabadiliko/mapinduzi ktk sekta ama taasisi zinazoongozwa na wanawake?
+*Kuna jipya la kujivunia kama nchi hivi sasa ambapo inaongizwa na mwanamke, ukilinganisha na ilipokuwa inaongozwa na wanaume?

Au mambo ni yale Yale, hivyo uachane na hizi nyimbo za wanawake wakiwezeshwa wanaweza, tuzingatie akili ya mtu??

#UongoziSiyoJinsia
Yapo mengi sana mfano ni Mageuzi makubwa kwenye sekta za jamii Elimu,maji,Afya na Kilimo.

Wanaume walishindwa

View: https://www.instagram.com/p/C1mMtHRNS2_/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==

View: https://www.instagram.com/p/C1oSKrLrCtx/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
 
Hata akitokea mtu asiye na Jinsia kabisa lakini ana akili nzuri ya Uongozi, basi yafaa sisi wananchi tumkubali na kumuunga mkono. Jinsia kwa sasa siyo kigezo cha Uongozi bora kwa sababu tumekuwa na Viongozi Wanaume lakini washindwa na wametuangusha. Lakinj pia tumekuwa na Viongozi Wanawake naowameshindwa na wametuangusha. Tunatakiwa kujaribu na upande mwingine pia kwa sasa, lakini kigezo chetu kikuu kuwe ni akili nzuri na uwezo mkubwa wa Uongozi.
 
Back
Top Bottom