Samwel J Nyangi
Member
- Aug 13, 2015
- 94
- 164
Waungwana wa JF nimeona niandike haya baada ya kutafakari sana juu ya ninachokiona sijui na wenzangu kama mnaliona hili, Kwa uelewa wangu siasa si chuki, ugomvi, hila, visasi ila siasa ni hoja, mwenye hoja humshinda asiye na hoja au mwenye hoja hafifu. Ikubukwe sote ni watanzania ingawaje tunatofautiana tu itikadi za vyama.
Sasa naona kama kuna kachuki kanajengeka kati ya chama tawala na upinzani.
Imekuwa kama ni uadui, wa upinzani anaanza kumchukia wa chama tawala wa chama tawala anamchukia mpinzani.
Mimi nimeliona hili hata humu JF. Kwa mwenendo huu Nchi yetu hatutafika kabisa tunakoelekea sio kuzuri utofauti wa vyama usituletee utengano na chuki baina yetu.
Sisi ni watoto wa Baba na mama mmoja nao ni TANZANIA. tuishi kwa kupendana.
Sasa naona kama kuna kachuki kanajengeka kati ya chama tawala na upinzani.
Imekuwa kama ni uadui, wa upinzani anaanza kumchukia wa chama tawala wa chama tawala anamchukia mpinzani.
Mimi nimeliona hili hata humu JF. Kwa mwenendo huu Nchi yetu hatutafika kabisa tunakoelekea sio kuzuri utofauti wa vyama usituletee utengano na chuki baina yetu.
Sisi ni watoto wa Baba na mama mmoja nao ni TANZANIA. tuishi kwa kupendana.