Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,949
- 74,431
Kumbuka na lile agizo la wabunge kutokwenda kumjulia hali Lissu aliposhambuliwa.Kuna meseji juzi imetumwa na JK akiwa mgeni kwenye mkutano wa Yanga..Narudia hivi ukisha kuwa kiongozi ata kama unataka A na kuna watu wa B lazma wote uwachukulie sawa maana sote ni watanzania. Mwenzenu anasema iweje umtangaze mpinzani,iweje upeleke maendeleo kwa mpinzani,iweje nishirikiane na wapinzani. Apo hua napata mashaka na kuuliza hivi kweli huyu ni damu ya Tanzania?
Watu msiumeume maneno, chanzo cha nchi hii kuharibika ni mwenyekiti wa CCM kutoa kauli za utengano. Nchi ikitumbukia mambo kama ya Rwanda mzigo wa dhambi zote ni wake.
Wenye uwezo wa kumuambia kwa ukaribu wamwambie point blank