Tuendako sio kuzuri!

Tuendako sio kuzuri!

Kwangu adui wa kwanza ni mwanaccm , sijashiriki misiba yao mtaani kwangu huu ni mwaka wa 3 sasa , halafu wao pia wanafahamu kwamba sishirikiani nao kwa lolote , na namuomba Mungu aendelee kunipa ujasiri wa kuwatenga zaidi
Kwa hiyo wao na wewe hakuna mwenye nafuu? Wote mambo yenu ni yale yale? Usipokuwa kama wao utapungukiwa nini?
 
Waungwana wa JF nimeona niandike haya baada ya kutafakari sana juu ya ninachokiona sijui na wenzangu kama mnaliona hili, Kwa uelewa wangu siasa si chuki, ugomvi, hila, visasi ila siasa ni hoja, mwenye hoja humshinda asiye na hoja au mwenye hoja hafifu. Ikubukwe sote ni watanzania ingawaje tunatofautiana tu itikadi za vyama. Sasa naona kama kuna kachuki kanajengeka kati ya chama tawala na upinzani. Imekuwa kama ni uadui, wa upinzani anaanza kumchukia wa chama tawala wa chama tawala anamchukia mpinzani. Mimi nimeliona hili hata humu JF. Kwa mwenendo huu Nchi yetu hatutafika kabisa tunakoelekea sio kuzuri utofauti wa vyama usituletee utengano na chuki baina yetu. Sisi ni watoto wa Baba na mama mmoja nao ni TANZANIA. tuishi kwa kupendana.
Magufuli anataka hivyo, endeleeni kumuunga mkono.
 
Kuna meseji juzi imetumwa na JK akiwa mgeni kwenye mkutano wa Yanga..Narudia hivi ukisha kuwa kiongozi ata kama unataka A na kuna watu wa B lazma wote uwachukulie sawa maana sote ni watanzania. Mwenzenu anasema iweje umtangaze mpinzani,iweje upeleke maendeleo kwa mpinzani,iweje nishirikiane na wapinzani. Apo hua napata mashaka na kuuliza hivi kweli huyu ni damu ya Tanzania?
Upinzaninwa kisiasa upo kisheria kulingana na katiba. Yanayoendelea ni uhalifu na ni kinyume cha katiba iliyopo. Inasikitisha kuwa na "unyani" wa kiwango hili katika kipindi hiki
 
Tukifanya mchezo Miaka sio mingi sana hatutakuwa na utulivu huu tulionao
 
Chuki hiyo si njema sana. Ukiwa CCM kuna ndugu yako yuko ulinzani na Ukiwa upinzani kuna ndugu yako yuko CCM. siasa isitutenganishe, siasa za Chuki hazina tofauti na udini, ukabila au ubaguzi wa rangi. Tusifike huko.
Chuki hiyo chanzo chake ni nini au ni nani?
Mbona kama wajitia upofu!!!!???
 
Waungwana wa JF nimeona niandike haya baada ya kutafakari sana juu ya ninachokiona sijui na wenzangu kama mnaliona hili, Kwa uelewa wangu siasa si chuki, ugomvi, hila, visasi ila siasa ni hoja, mwenye hoja humshinda asiye na hoja au mwenye hoja hafifu. Ikubukwe sote ni watanzania ingawaje tunatofautiana tu itikadi za vyama.

Sasa naona kama kuna kachuki kanajengeka kati ya chama tawala na upinzani.

Imekuwa kama ni uadui, wa upinzani anaanza kumchukia wa chama tawala wa chama tawala anamchukia mpinzani.

Mimi nimeliona hili hata humu JF. Kwa mwenendo huu Nchi yetu hatutafika kabisa tunakoelekea sio kuzuri utofauti wa vyama usituletee utengano na chuki baina yetu.

Sisi ni watoto wa Baba na mama mmoja nao ni TANZANIA. tuishi kwa kupendana.
Muasisi wa chuki hizi anajulikana na atabeba lawama zote. Mungu hadhihakiwi.
 
Kwangu adui wa kwanza ni mwanaccm , sijashiriki misiba yao mtaani kwangu huu ni mwaka wa 3 sasa , halafu wao pia wanafahamu kwamba sishirikiani nao kwa lolote , na namuomba Mungu aendelee kunipa ujasiri wa kuwatenga zaidi

Mimi mwana ccm yeyote huwa namtoza mara mbili kwenye biashara yangu na sinunui kitu kwa mtu anaejitambulisha kuwa ni m-ccm.
 
Kwangu adui wa kwanza ni mwanaccm , sijashiriki misiba yao mtaani kwangu huu ni mwaka wa 3 sasa , halafu wao pia wanafahamu kwamba sishirikiani nao kwa lolote , na namuomba Mungu aendelee kunipa ujasiri wa kuwatenga zaidi
Mimi hata tukikuta bar huwa sipendi mazoea nao kabisa hao manyang'au
 
Back
Top Bottom