24hrs
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,624
- 5,947
ahaaaa ndo hivo yani bampa 2 bampasiku ya kwanza wananitumia JUMADILI na JUMATAMU nikazani wamekosea kumbe wapo serious na busness, kweli kwao ni bonge ya dili na utamu wanaupata
ahaaaa ndo hivo yani bampa 2 bampasiku ya kwanza wananitumia JUMADILI na JUMATAMU nikazani wamekosea kumbe wapo serious na busness, kweli kwao ni bonge ya dili na utamu wanaupata
Mimi pia nimecheza kwa line 3 voda Tigo na Air almost nimepoteza 65000 pasipo kupata hata ya papo kwa papo hawa ni wezi tu lini mikoa ya Iringa njombe mbeya singida manyara nk wakatoa mshindiMimi ni mshiriki wa hiyo wanayo iita bahati nasibu hakuna chochote, walitoa namba rafikiyangu Fulani kashinda, nikampigia ananiambia hata hakushiriki na hajui, kuna siku nilicheza nikakatwa pesa kwenye mpesa yangu lakini sms comfimation ya biko sijaipata, hua wanatuma namba zao za huduma kwa wateja, nikapiga wee mchana kutwa hawapatikani namba zote 3 jioni najaribu tena ndo wakapokea nawaambia nimekatwa pesa na kwenye mashindano sijashirikishwa, hakunisaidia lolote, wezi tu, tena wasaka tonge wakubwa
Aseeh
Sent from my SM-G950FD using JamiiForums mobile app
Mkuu halafu kwa nini ni namba za tigo tu huwa zinashinda?
na wengi kuliwa...Bahati nasibu maana yake ni mmoja tu atashinda
Ata mm sielewiMkui halafu kwa nini ni namba za tigo tu huwa zinashinda?
aiseeh poaAta mm sielewi
Bahati nasibu ni kama kamali zinginezo tu hakuna udanganyifu .Wakuu naomba kuhoji hili kwa wajuao, karibu kila siku au few days za wiki hawa Biko wanatoa Tsh 20M na wanaitangaza kwa mbwembwe....
Napata muda wa kuangalia TV za Tz naona inatangazwa na ITV tu, je ina ukweli?
Kuna mshindi humu atudhihirishie kama buku aliyopanda ndo imemzalia 20M?
Au ndo yale yale ya kula pesa za walala hoi, then hiyo 20M ni kiini macho tu?
Wish to hear!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo Avatar yako ni wewe?...upo vizuri.Wezi wakumbwa tena wanatumia nguvu ya tv, media na matamasha kudanganya watu
Biko ni mradi km mradi mwingine,Habari zenu wakuu,
Nimeskia promo mbalimbali kwenye vyombo vya habari kuhusu mchezo wa bahati nasibu maarufu kama BIKO...,ningependa kufahamu kama kuna mtu yeyote aliyeshinda ili nami nijaribu bahati yangu
Umeona eeh... Ukibeti unajua kabisa hapa nimepata au nimepatwa ila hizi nyingine ndio huwa hata siwaelewi.