Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,312
- 10,492
Pole sana, kumbe ile 20M ni zuga eeh? Maana najiuliza wakitoa 20M walau mara 3 kwa wiki c wataishia kupata hasara? Japo cna base ya wateja wao but I think c wengi kiivoMimi ni mshiriki wa hiyo wanayo iita bahati nasibu hakuna chochote, walitoa namba rafikiyangu Fulani kashinda, nikampigia ananiambia hata hakushiriki na hajui, kuna siku nilicheza nikakatwa pesa kwenye mpesa yangu lakini sms comfimation ya biko sijaipata, hua wanatuma namba zao za huduma kwa wateja, nikapiga wee mchana kutwa hawapatikani namba zote 3 jioni najaribu tena ndo wakapokea nawaambia nimekatwa pesa na kwenye mashindano sijashirikishwa, hakunisaidia lolote, wezi tu, tena wasaka tonge wakubwa
Sent using Jamii Forums mobile app