Tuelimishane hapa kuhusu hii bahati na sibu ya BIKO

Mimi ni mshiriki wa hiyo wanayo iita bahati nasibu hakuna chochote, walitoa namba rafikiyangu Fulani kashinda, nikampigia ananiambia hata hakushiriki na hajui, kuna siku nilicheza nikakatwa pesa kwenye mpesa yangu lakini sms comfimation ya biko sijaipata, hua wanatuma namba zao za huduma kwa wateja, nikapiga wee mchana kutwa hawapatikani namba zote 3 jioni najaribu tena ndo wakapokea nawaambia nimekatwa pesa na kwenye mashindano sijashirikishwa, hakunisaidia lolote, wezi tu, tena wasaka tonge wakubwa
Pole sana, kumbe ile 20M ni zuga eeh? Maana najiuliza wakitoa 20M walau mara 3 kwa wiki c wataishia kupata hasara? Japo cna base ya wateja wao but I think c wengi kiivo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inafahamika kuwa Watanzania tunapenda maisha ya mkato...

Tunapenda maisha mazuri ambayo hatutaki kuyafanyia kazi....

Mtu na akili zake timamu anaamini kabisa kuwa elfu moja inaweza ikamuingizia mamilioni ya pesa...!!!

Utapeli na wizi huu hautakwisha mpaka pale watu watakapogundua kuwa..--

~ Hakuna hela inayopatikana kiurahisi.....

~ Mafanikio hayaji kama ndoto na kwa kubahatisha bali kwa kufanya kazi kwa bidii na kwa malengo.....

~ Maisha hayana shortcuts bali mipango na nguvu zako za kupambana ndizo vitakavyokufikisha unapopataka....

~ Ujinga wako na ndio mtaji wa wengine....





Easy come easy go
 
1500488921514.jpg
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Inafahamika kuwa Watanzania tunapenda maisha ya mkato...

Tunapenda maisha mazuri ambayo hatutaki kuyafanyia kazi....

Mtu na akili zake timamu anaamini kabisa kuwa elfu moja inaweza ikamuingizia mamilioni ya pesa...!!!

Utapeli na wizi huu hautakwisha mpaka pale watu watakapogundua kuwa..--

~ Hakuna hela inayopatikana kiurahisi.....

~ Mafanikio hayaji kama ndoto na kwa kubahatisha bali kwa kufanya kazi kwa bidii na kwa malengo.....

~ Maisha hayana shortcuts bali mipango na nguvu zako za kupambana ndizo vitakavyokufikisha unapopataka....

~ Ujinga wako na ndio mtaji wa wengine....





Easy come easy go
U nailed it hard best!!!

Huu wizi utaendelea mpaka tunyooke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom