Kimbelembele ka pua ya wasira
Harudii tena we mkali sana mkuu! Ha ha ha....
Kimbelembele ka pua ya wasira
Yani wee umezaliwa na sura mbaya hado mamako ilibidi awe ankulisha ugali kwa kutumia manati.Twende!hahahaha .... kichwa ka bakuli la ftari........
nyie wote mna meno kama ngiri...yaone yalivyo.
Kimbelembele ka pua ya wasira
Macho kama golori.....
endelea
shingo nyembamba ka cable ya kuchajia simu
nyie wote mna meno kama ngiri...yaone yalivyo.