paul john kalunga
Member
- Aug 24, 2014
- 8
- 0
Kichwa kama kofolonzeo
Ukosefu wa ajira kwa vijana n bomu linalosubir kulipuka,,naona moshiii ushaanza fuka
Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
Kweli kabisa hii yote ni kukosa ajira au kutojiajiri lol
Kweli kabisa hii yote ni kukosa ajira au kutojiajiri lol
Nyumbani kwenu wanawake wooote ni mahausigel.. we nae ulipofika chuo kikuu ukalazimisha kusomea housege management..
twende..
tutoke hapa ndo maana miguu imekomaa kama fimbo za puli tebo (pull table)
Ukosefu wa ajira kwa vijana n bomu linalosubir kulipuka,,naona moshiii ushaanza fuka
hahaaaaaaaaaaaa! Mie nimeipenda hii zaidi kwa ni vijana wameshakuwa mateja sasa