pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 19,030
- 15,232
Miguu kaa fito!
ndo mana unajiremba lakini hupendezi....twentyhahahaha .... kichwa ka bakuli la ftari........
una maneno mengi hadi kasuku kakukimbia
Sura mbaya kama sokwe
Twende twende kichwa kidogo kama piriton
Ndo maana familia nzima mnavaa kiatu kimoja eti mnasev cost..
Twende masikini wewe!
muone kwanza!Ha ha ha excel umeniweza lakin sikubali twende twende macho makubwa utarikir mjus kabanwa na mlango
Domo kubwa kama nini?
kipara kama ugali !!!