Tuanzishe Kampeni ya #Kataa Muungano

Tuanzishe Kampeni ya #Kataa Muungano

Muungano hauwezi kuvunjika unalindwa kwa mtutu wa bunduki
 
Serikali tatu ni gharama kuendesha so bora kila mtu asepe tubaki na Tanganyika yetu
Serikali tatu ndio palikuwa pa kuanzia. Zingepita serikali tatu na wakashindwa kuzihudumia, muungano ungevunjika automatically! Muungano haujabalance kabisa, unaimeza the Republic of Tanganyika.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hii katiba ya sasa jinsi ilivyo, akipatikana rais wa Tanzania Mzanzibar, halafu akafumba macho na kuziba masikio, hakika Zanzibar itatajirika.

Itakuwa ni mwendo wa kuchukua rasilimali za bara na kuhamishia huko Zenji kimya kimya, na ikumbukwe katiba hii inampa mamlaka makubwa rais

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Wenzetu Watanganyika washalitumbua jipu, sasa ni zamu yetu Wazanzibari kuukamua usaha mpaka tuufikie moyo wake na kuliponya moja kwa moja jeraha.

Ingefaa tuwaulize wenzetu, kama wao wameumia mno kwa kuona uhuru na rasilimali zao zimeingia hatarini kwa mkataba mmoja TU wa bandari, wanadhani wametuumiza kwa kiasi gani sisi wenzao kwa miaka 60 yote hii tangu walipoupora uhuru na mamlaka yetu YOTE na kutudumaza kiustawi kwa kutufungia njia kuu za kiuchumi.

Wanaumia kuona Mzanzibari anakuwa rais wa Tanzania hata kama ni kisheria na kikatiba, wakati wao wamejipa mamlaka ya kimabavu, kwa miaka yote hii ya kutupangia nani atuongoze Wazanzibari na kwa mipaka gani ya mamlaka!

Tuwathibitishie kwamba iwe iwavyo, sasa tumeshabaini bila chembe ya shaka, kwa yaliyotoka kwenye ndimi zao, kwamba wana chuki kubwa dhidi ya Uarabu na Uislamu na kwamba chuki hizo ndizo zilizochangia pia kutubana tusifurukute ndani ya 'muungano'; na ndio maana kina Lukuvi na Sitta hawakuulizwa chochote na yeyote waliponena waliyoyanena dhidi ya Uarabu na Uislamu, kwa sababu waliwasilisha na kuwakilisha mtazamo rasmi wa Tanganyika kuhusiana na Wazanzibari katika muungano.

Na kwa hapa tulipofika tukubaliane kwamba, kama ni kuuendeleza muungano, basi hakuna mbadala mwingine wa mahusiano yetu ya kisiasa na Watanganyika isipokuwa kufuta kwanza jina Tanzania na kurudi kwenye Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuamua ama kuwa na muungano wa mkataba au wa serikali tatu. Ghairi ya hivyo ni kila nchi kurudi kwenye asili yake ya taifa na nchi kamili
TANGANYIKA HATUTAKI Muungano wa Kinyonyaji
 
Hivi unahisi sisi watanganyika tutapata hasara gani zaidi ya faida?
Ndomana siwaelewi wazanzibar mmekalia udini tu ,mimi popote nasali ila kama anayeabudiwa Ni Mungu mmoja,.
Kwani Kati ya huko na huku wapi pana waisilamu wengi?
Pia tuwe na chuki na waarabu ili iweje ? Sisi tunatetea maslai ya nchi nyie mmebaki kwenye udini.
Na kunyonya resource na rasilimali zetu kwa kigezo cha Muungano wa kinafki.
#Kataa Muungano ,hauna faida ni utapeli
Hata wao visiwani pia wanalalamika huu Muungano,
 
Wangekuwa vizuri zaidi ya ile ...Kausha, punguza umbea ,kaa kwenu !!


Elimu baba yako tu hana! wakati fuatilia watu wa kwanza kuwa na elimu sio wezi wa mitihani[emoji1787][emoji1787]ndo maana sura zinachakaa kwa ubatili ,kazi pombe kama wanyama
Wewe huko zenj mnaongoza kwa kufeli, kila siku wa mwisho nyie
 
Wenzetu Watanganyika washalitumbua jipu, sasa ni zamu yetu Wazanzibari kuukamua usaha mpaka tuufikie moyo wake na kuliponya moja kwa moja jeraha.

Ingefaa tuwaulize wenzetu, kama wao wameumia mno kwa kuona uhuru na rasilimali zao zimeingia hatarini kwa mkataba mmoja TU wa bandari, wanadhani wametuumiza kwa kiasi gani sisi wenzao kwa miaka 60 yote hii tangu walipoupora uhuru na mamlaka yetu YOTE na kutudumaza kiustawi kwa kutufungia njia kuu za kiuchumi.

Wanaumia kuona Mzanzibari anakuwa rais wa Tanzania hata kama ni kisheria na kikatiba, wakati wao wamejipa mamlaka ya kimabavu, kwa miaka yote hii ya kutupangia nani atuongoze Wazanzibari na kwa mipaka gani ya mamlaka!

Tuwathibitishie kwamba iwe iwavyo, sasa tumeshabaini bila chembe ya shaka, kwa yaliyotoka kwenye ndimi zao, kwamba wana chuki kubwa dhidi ya Uarabu na Uislamu na kwamba chuki hizo ndizo zilizochangia pia kutubana tusifurukute ndani ya 'muungano'; na ndio maana kina Lukuvi na Sitta hawakuulizwa chochote na yeyote waliponena waliyoyanena dhidi ya Uarabu na Uislamu, kwa sababu waliwasilisha na kuwakilisha mtazamo rasmi wa Tanganyika kuhusiana na Wazanzibari katika muungano.

Na kwa hapa tulipofika tukubaliane kwamba, kama ni kuuendeleza muungano, basi hakuna mbadala mwingine wa mahusiano yetu ya kisiasa na Watanganyika isipokuwa kufuta kwanza jina Tanzania na kurudi kwenye Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuamua ama kuwa na muungano wa mkataba au wa serikali tatu. Ghairi ya hivyo ni kila nchi kurudi kwenye asili yake ya taifa na nchi kamili
Sasa nani kakubana?
Ardhi mnamiliki.
Biashara mnafanya.
Na Hambaguliwi.
HESLB mnakopeshwa kwa Kodi za watanganyika.
Na Ajira mnapata huku Tanganyika
Wazanzibari ndo wanafaidika na huu muungano, ukivunjwa, ardhi zote mnanyanganywa, ajira zote mnapokonywa na hamtasomeshwa kwa hela za walipa Kodi wa Tanganyika.
Maana huko Zanzibar, Mtanganyika hawezi miliki ardhi, hawezi Jenga nyumba, biashara kule ni ngumu kufanya kwa Mtanganyika, Kuna ubaguzi wa kidini na wa kikabila kwa Watanganyika .
Sasa Muungano una Faida gani kwa Mtanganyika?
 
Kwani aliyevamia ni nani , si muondowe majeshi yenu yaliyojaa kila mtaa
Tunawapa kila kitu bado mnaleta dharau,majeshi yanawalinda ilu muwe na amani lakini hata shukrani hamna😡😡
#KataaMuungano,Muunganoni utapeli
 
Back
Top Bottom