Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,523
- 14,002
Naunga mkono hoja nimeishi Zenji nimeona ubaguzi wao kwa sisi Wabara.
Tuna chuki kubwa na Uarabu, kwani nyinyi Zanzibar Waarabu ????wana chuki kubwa dhidi ya Uarabu na Uislamu ..... ndio maana kina Lukuvi na Sitta hawakuulizwa chochote na yeyote waliponena waliyoyanena dhidi ya Uarabu na Uislamu
Tuna chuki na Waarabu, kwani nyinyi Zanzibar Waarabu ????
hahahahaaaa
Mimi toka 1964 nilikataa kwani huu si muungano ni Uvamizi#Kataa_Muungano
Hii pia ni hoja ndo maana ya rasimu... na ndotunayotakiwa kupambania na sii utoto wa hashtagYanafanaikiwa kwa sababu ya Kukosa Elimu,
Ongezea na maandamano ya Mwenge hivi wakuu wa wilaya mikoa ,mawaziri wanafanya kazi gani hadi Mwenge ukazindue miradi mipya,na wenyewe ni wa kuukataa
Tunaitaji Katiba mpya ,ila serikali tatu ni kurudia kulekule hamna nchi ndani ya nchi ,either iwe nchi moja nyingine iwe jimbo ama tuuvunje
[emoji1787][emoji1787][emoji1787].. mimi mwenyewe huwa nacheka sana kuhusu huu muungano....Tutandike jamvi chini,
Ndoa yoyote lazima iwe na manufaa kwa wanandoa wote ili kudumisha Muunganiko, kama mmoja anataka awe tu mmufaika pasina kutimiza wajibu au kuwa mbinafsi basi hiyo ndoa haina Maisha au haina uhai,na iwapo itaendelea kuna maafa mbeleni.
Hebu tuje labda mnijuze mm sioni Umuhimu wa Muungano .Sibezi jitihada za nyerere na Karume kwenye hili la kuangalia jicho la kiusalama zaid,lakini hilo kwa sasa halina mantiki.
Si lazima adui atokee zanzibar tu, maana tumepatana na kenya,rwanda,burundi,congo n.k kwanini asitokee huko?
Tekinologia imeendelea si lazima vita vipiganwe ana kwa ana...!!kuna silaha kutoka bara hadi bara hivyo ishu ya usalama imepitwa na wakati.
-Ishu ya kijamamii, haiwezekani huu Muungano, mmoja ale chako tu chake hakitaki kiguswe ,ardhi yake ni yake yetu ni ya pamoja hamna Muungano wa hivyo huo ni ujinga, fursa za Ajira za kwake ni zake ,za kwetu ni za Muungano na kisiasa pia, pia kwenye ndoa hawa watu ni wabaguzi kweli kweli hata kwa binti zao kwa wabantu.
-Kiuchumi- haiwezekani leseni ya bara iwe ya bara tu,ila ya zenji ni ya Muungano uwo ni ushuzi, .kwenye kodi huku utalipia kodi ukiingiza kule utalipia pia mantiki ya kuungana ni nini?
-Kisiasa-mtanganyika hana haki ya kisiasa kule hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi, mzanzibar ana haki zote hata kuingia ikulu
-Kiutamaduni-
Sisi ni wabantu wao wanajiita waarabu ingawa waarabu wanawakataa
-geographical location kila nchi ina mipaka yake iliyojiwekea na nchi nyingine ina dai eneo kwa nchi nyingine,ushuzi huu.
-Utalii- ndo hoja yao kuu ,ila cha kushangaza sisi tuna resources kuzidi wao, sasa umuhimu wao upo wapi..
- Kidini- Kule ni udini tu wamekalia hoja za kidini-.pia ni wabaguzi kwa wasio wa islam.
Faida kwa mbara; nisiwe mnafiki kwakeli hamna ,na hili muulize mwananchi yoyote wa bara hivi kuwepo kwa Muungano kunasaidia nn Mtanganyika naamini asilimia 98%Watakwambia hamna.
Zaidi ya kunyonya resource zetu,kuchukua ardhi,kutubagua,na kuuza bandari zetu,na kuleta udini.
Mimi naomba niwe muasisi wa Kampeni ya #Kataa Muungano.
Muungano ni utapeli,unyonyaji,udini, n.k na hauna faida
👀😂😅👀Naunga mkono hoja, Mungu ametuletea kiongozi dhaifu ili muungano fake usambaratike
Mkiwa mnaongolea maswala yenu ya muungano msituingizie dini yetuWenzetu Watanganyika washalitumbua jipu, sasa ni zamu yetu Wazanzibari kuukamua usaha mpaka tuufikie moyo wake na kuliponya moja kwa moja jeraha.
Ingefaa tuwaulize wenzetu, kama wao wameumia mno kwa kuona uhuru na rasilimali zao zimeingia hatarini kwa mkataba mmoja TU wa bandari, wanadhani wametuumiza kwa kiasi gani sisi wenzao kwa miaka 60 yote hii tangu walipoupora uhuru na mamlaka yetu YOTE na kutudumaza kiustawi kwa kutufungia njia kuu za kiuchumi.
Wanaumia kuona Mzanzibari anakuwa rais wa Tanzania hata kama ni kisheria na kikatiba, wakati wao wamejipa mamlaka ya kimabavu, kwa miaka yote hii ya kutupangia nani atuongoze Wazanzibari na kwa mipaka gani ya mamlaka!
Tuwathibitishie kwamba iwe iwavyo, sasa tumeshabaini bila chembe ya shaka, kwa yaliyotoka kwenye ndimi zao, kwamba wana chuki kubwa dhidi ya Uarabu na Uislamu na kwamba chuki hizo ndizo zilizochangia pia kutubana tusifurukute ndani ya 'muungano'; na ndio maana kina Lukuvi na Sitta hawakuulizwa chochote na yeyote waliponena waliyoyanena dhidi ya Uarabu na Uislamu, kwa sababu waliwasilisha na kuwakilisha mtazamo rasmi wa Tanganyika kuhusiana na Wazanzibari katika muungano.
Na kwa hapa tulipofika tukubaliane kwamba, kama ni kuuendeleza muungano, basi hakuna mbadala mwingine wa mahusiano yetu ya kisiasa na Watanganyika isipokuwa kufuta kwanza jina Tanzania na kurudi kwenye Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuamua ama kuwa na muungano wa mkataba au wa serikali tatu. Ghairi ya hivyo ni kila nchi kurudi kwenye asili yake ya taifa na nchi kamili
Nini kinawazuia kustawi. au bado una mentality ya kukosa misaada ya sultan wenu
##kataa muungano ni utapeli
Halafu si nzani kama zanzibar inapata mapato makubwa sana ya utalii kuliko tanzania bara....Tutandike jamvi chini,
Ndoa yoyote lazima iwe na manufaa kwa wanandoa wote ili kudumisha Muunganiko, kama mmoja anataka awe tu mmufaika pasina kutimiza wajibu au kuwa mbinafsi basi hiyo ndoa haina Maisha au haina uhai,na iwapo itaendelea kuna maafa mbeleni.
Hebu tuje labda mnijuze mm sioni Umuhimu wa Muungano .Sibezi jitihada za nyerere na Karume kwenye hili la kuangalia jicho la kiusalama zaid,lakini hilo kwa sasa halina mantiki.
Si lazima adui atokee zanzibar tu, maana tumepatana na kenya,rwanda,burundi,congo n.k kwanini asitokee huko?
Tekinologia imeendelea si lazima vita vipiganwe ana kwa ana...!!kuna silaha kutoka bara hadi bara hivyo ishu ya usalama imepitwa na wakati.
-Ishu ya kijamamii, haiwezekani huu Muungano, mmoja ale chako tu chake hakitaki kiguswe ,ardhi yake ni yake yetu ni ya pamoja hamna Muungano wa hivyo huo ni ujinga, fursa za Ajira za kwake ni zake ,za kwetu ni za Muungano na kisiasa pia, pia kwenye ndoa hawa watu ni wabaguzi kweli kweli hata kwa binti zao kwa wabantu.
-Kiuchumi- haiwezekani leseni ya bara iwe ya bara tu,ila ya zenji ni ya Muungano uwo ni ushuzi, .kwenye kodi huku utalipia kodi ukiingiza kule utalipia pia mantiki ya kuungana ni nini?
-Kisiasa-mtanganyika hana haki ya kisiasa kule hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi, mzanzibar ana haki zote hata kuingia ikulu
-Kiutamaduni-
Sisi ni wabantu wao wanajiita waarabu ingawa waarabu wanawakataa
-geographical location kila nchi ina mipaka yake iliyojiwekea na nchi nyingine ina dai eneo kwa nchi nyingine,ushuzi huu.
-Utalii- ndo hoja yao kuu ,ila cha kushangaza sisi tuna resources kuzidi wao, sasa umuhimu wao upo wapi..
- Kidini- Kule ni udini tu wamekalia hoja za kidini-.pia ni wabaguzi kwa wasio wa islam.
Faida kwa mbara; nisiwe mnafiki kwakeli hamna ,na hili muulize mwananchi yoyote wa bara hivi kuwepo kwa Muungano kunasaidia nn Mtanganyika naamini asilimia 98%Watakwambia hamna.
Zaidi ya kunyonya resource zetu,kuchukua ardhi,kutubagua,na kuuza bandari zetu,na kuleta udini.
Mimi naomba niwe muasisi wa Kampeni ya #Kataa Muungano.
Muungano ni utapeli,unyonyaji,udini, n.k na hauna faida
FactsHalafu si nzani kama zanzibar inapata mapato makubwa sana ya utalii kuliko tanzania bara....
Zanzbar inaonekana ina watalii wengi kwa sabbu , zanzbar ina eneo dogo sana kulinganisha na bara, ndio maana watalii wanaonekana ni wengi..
IgweeMkiwa mnaongolea maswala yenu ya muungano msituingizie dini yetu
Unavyosema watanganyika wanauchukia uislaam kwa Ku generalize, hujui pia Tanganyika kuna waislaam tena bilashaka waislaam wa Tanganyika wapo wengi kuliko waislaam walioko Zanzibar
ili jambo la kisiasa mlijadili kisiasa
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Mimi kwa sasa nadhani Kampeni ya kuwakataa DP World harafu hizo zingine ndio zifuate moto ukiwa unawaka unazima wa karibu kwanza hautakiwi kuuruka huu ukazime wa katikati utaenda kufa huko...
Mkiwa mnaongolea maswala yenu ya muungano msituingizie dini yetu
Unavyosema watanganyika wanauchukia uislaam kwa Ku generalize, hujui pia Tanganyika kuna waislaam tena bilashaka waislaam wa Tanganyika wapo wengi kuliko waislaam walioko Zanzibar
ili jambo la kisiasa mlijadili kisiasa
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app