Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Binafsi hupenda kutabiri au kueleza mtazamo wangu juu ya nini kinaweza kutokea hapo baadae based on what is happening now.
Kwa msingi huo huo,naona kuna viashiria vyote vya sera hii kufeli kwasababu ya siasa kutawala badala ya taalumu za watu kuachwa zifanye kazi na wanataalumu/wasomi kugeuka wanasiasa na kuweka kando taaluma zao.
Kabla ya mtu kuamua kuwekeza katika nchi yoyote ni lazima kwanza ajiridhishe kuwa akiwekeza katika nchi husika hata pata hasara na zaidi atarudisha hela aliyowekeza na pia atapata faida na pia biashara au uwekezaji wake utakuwa sustanaible.
Kwa kawaida mambo ya kuzingatia ni kama hali ya uchumi wa nchi husika, political stability, viwango vya kodi katika nchi husika,hali ya hewa, upatikanaji wa malighafi,soko la ndani na la nje,n.k kutegemeana na aina ya uwekezaji mtu anaotaka kuufanya. Wataalamu wanaelewa zaidi na wanaweza kutusaidia hapa.
Kwa nchi yetu factors nyingi ziko under control iwapo tutaacha siasa na tutakuwa serious na isitoshe nchi yetu imejaliwa kila kitu kuanzia hali nzuri ya hewa(hatuna extreme weather,n.k) ,maliasili mbalimbali na hata mito,mabonde na maziwa yanayofaa kwa kilimo cha umwagiliaji.
Pamoja na yote haya, sera hii ya viwanda bado inaweza kufeli tu kama tulivyofeli katika maeneo mengine ila wanasiasa wetu huwa hawakosa sababu za kujitetea wanaporudi kwa wananchi kuomba kura.
Kwa msingi huu,tutarajie sababu gani kutoka kwa wanasiasa iwapo kweli sera hii itatenda kufeli?
Mimi nataraji kusikia yafutayo:
1.Ukame
2.Mtikisiko wa uchumi duniani
3.Upotoshaji wa vyombo vya habari kuhusu hali ya uchumi wa nchi.
4.Tunahitaji muda zaidi hivyo tunaomba mtupe miaka mingene 5.
Unaweza kuoongeza kwenye hii list.
Kwa msingi huo huo,naona kuna viashiria vyote vya sera hii kufeli kwasababu ya siasa kutawala badala ya taalumu za watu kuachwa zifanye kazi na wanataalumu/wasomi kugeuka wanasiasa na kuweka kando taaluma zao.
Kabla ya mtu kuamua kuwekeza katika nchi yoyote ni lazima kwanza ajiridhishe kuwa akiwekeza katika nchi husika hata pata hasara na zaidi atarudisha hela aliyowekeza na pia atapata faida na pia biashara au uwekezaji wake utakuwa sustanaible.
Kwa kawaida mambo ya kuzingatia ni kama hali ya uchumi wa nchi husika, political stability, viwango vya kodi katika nchi husika,hali ya hewa, upatikanaji wa malighafi,soko la ndani na la nje,n.k kutegemeana na aina ya uwekezaji mtu anaotaka kuufanya. Wataalamu wanaelewa zaidi na wanaweza kutusaidia hapa.
Kwa nchi yetu factors nyingi ziko under control iwapo tutaacha siasa na tutakuwa serious na isitoshe nchi yetu imejaliwa kila kitu kuanzia hali nzuri ya hewa(hatuna extreme weather,n.k) ,maliasili mbalimbali na hata mito,mabonde na maziwa yanayofaa kwa kilimo cha umwagiliaji.
Pamoja na yote haya, sera hii ya viwanda bado inaweza kufeli tu kama tulivyofeli katika maeneo mengine ila wanasiasa wetu huwa hawakosa sababu za kujitetea wanaporudi kwa wananchi kuomba kura.
Kwa msingi huu,tutarajie sababu gani kutoka kwa wanasiasa iwapo kweli sera hii itatenda kufeli?
Mimi nataraji kusikia yafutayo:
1.Ukame
2.Mtikisiko wa uchumi duniani
3.Upotoshaji wa vyombo vya habari kuhusu hali ya uchumi wa nchi.
4.Tunahitaji muda zaidi hivyo tunaomba mtupe miaka mingene 5.
Unaweza kuoongeza kwenye hii list.