Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,299
- 60,931
Wakuu habari za nyie...
Mara nyingi nimekuwa nikiskia watu wanaambizana,. "Ukijiajiri unakuwa na mda mwingi wa kupumzika Kwasabu Kila kitu unajiamulia mwenyewe ufanye au usifanye".. kiuhalisia naona kama hii kauli haina ukweli,. Ila tuachane nayo tu kwanza tujikite kwenye mada
Tukiachana watumishi wa serikali najuwa likizo wanazo na wanazotumiaje hilo wanajua wenyewe,. Haya wewe ambaye umejiajiri kwanini hupumziki??,. Kwanini hujipi mda wa kupumzika japo hata miezi miwili au mitatu utulie tu upumzishe mwili na akili Au hata wiki au hata siku kadhaa ,. Kwanini hufanyi hivyo?..
Ni kwamba unaipenda sana KAZI au biashara Yako??, Au ni kwamba wewe hupendi kupumzika ( kutulia ) ,Bado hujatimiza malengo? Na unaamini ukifanya KAZI mfululizo bila kupumzika ndio utafanikiwa??,. Unayo majukumu mengi kiasi cha kwamba usipofanya KAZI wiki au mwezi mmoja Kila kitu kinavuruguika??,. Huna mtu wa kukusaidia ?? Au shida Nini??.... Tuambizane tu kidogo huenda ukapata namna ya kujipumzisha kutokana na maoni ya wadau..
Kwa upande wangu ni kwamba Bado sijaweza kujisimamia mwenyewe na watu ninaoshirikiana nao usipowasimamia KAZI zinaweza zisiende au zikafanyika sio Kwa kiwango kile ambacho inabidi kifanyike, Na mambo mengi ambayo yanahitaji kutimizwa Kwa wakati maana umri hausimami eti🥹
Nahitaji sana kujipumzisha ila changamoto ndio hiyo..
Tuambie na wewe tatizo nini???
Mara nyingi nimekuwa nikiskia watu wanaambizana,. "Ukijiajiri unakuwa na mda mwingi wa kupumzika Kwasabu Kila kitu unajiamulia mwenyewe ufanye au usifanye".. kiuhalisia naona kama hii kauli haina ukweli,. Ila tuachane nayo tu kwanza tujikite kwenye mada
Tukiachana watumishi wa serikali najuwa likizo wanazo na wanazotumiaje hilo wanajua wenyewe,. Haya wewe ambaye umejiajiri kwanini hupumziki??,. Kwanini hujipi mda wa kupumzika japo hata miezi miwili au mitatu utulie tu upumzishe mwili na akili Au hata wiki au hata siku kadhaa ,. Kwanini hufanyi hivyo?..
Ni kwamba unaipenda sana KAZI au biashara Yako??, Au ni kwamba wewe hupendi kupumzika ( kutulia ) ,Bado hujatimiza malengo? Na unaamini ukifanya KAZI mfululizo bila kupumzika ndio utafanikiwa??,. Unayo majukumu mengi kiasi cha kwamba usipofanya KAZI wiki au mwezi mmoja Kila kitu kinavuruguika??,. Huna mtu wa kukusaidia ?? Au shida Nini??.... Tuambizane tu kidogo huenda ukapata namna ya kujipumzisha kutokana na maoni ya wadau..
Kwa upande wangu ni kwamba Bado sijaweza kujisimamia mwenyewe na watu ninaoshirikiana nao usipowasimamia KAZI zinaweza zisiende au zikafanyika sio Kwa kiwango kile ambacho inabidi kifanyike, Na mambo mengi ambayo yanahitaji kutimizwa Kwa wakati maana umri hausimami eti🥹
Nahitaji sana kujipumzisha ila changamoto ndio hiyo..
Tuambie na wewe tatizo nini???