Ngathuyavome
Member
- Aug 15, 2013
- 85
- 20
Kahtaan
Naona azikwei na Nyerere kabisa. Na mimi pia kunavitu kazaa ambavyo sikuvipenda. Kimoja wapo ni matumizi ya kiswahili shuleni ambayo yaliaribu kiwango cha elimu katika mikoa ambayo tayari ilikuwa na elimu nzuri. watu waliosoma shule za serekali wakati wa uhuru walipata elimu nzuri kuliko tuliosoma shule za serekali 80s na 90s. Lakin ni bora kama utapima mambo aliyofanya Nyerere kwa kuangalia mazuri na mabaya na pia kwa kumlinganisha na viongozi wengine. Bila kufaya hivyo hata mitume nao walifanya makosa yao. Kwaiyo niambe kiongozi gani hapa tanzania anaweza kuwa zaidi ya Nyerere?. Pia angalia alichoandika
Ubarikiwe
Link ya MOBHARE MATINYI KATIKA MJADALA WA UDINI
UDADISI: Rethinking in Action: UDINI NA UTANZANIA:TULIPOTOKA,TULIPO,TUELEKEAPO
Naona azikwei na Nyerere kabisa. Na mimi pia kunavitu kazaa ambavyo sikuvipenda. Kimoja wapo ni matumizi ya kiswahili shuleni ambayo yaliaribu kiwango cha elimu katika mikoa ambayo tayari ilikuwa na elimu nzuri. watu waliosoma shule za serekali wakati wa uhuru walipata elimu nzuri kuliko tuliosoma shule za serekali 80s na 90s. Lakin ni bora kama utapima mambo aliyofanya Nyerere kwa kuangalia mazuri na mabaya na pia kwa kumlinganisha na viongozi wengine. Bila kufaya hivyo hata mitume nao walifanya makosa yao. Kwaiyo niambe kiongozi gani hapa tanzania anaweza kuwa zaidi ya Nyerere?. Pia angalia alichoandika
MOBHARE MATINYI
katika mjadala wa udini uniambie unafikiria nini.
Ubarikiwe
Link ya MOBHARE MATINYI KATIKA MJADALA WA UDINI
UDADISI: Rethinking in Action: UDINI NA UTANZANIA:TULIPOTOKA,TULIPO,TUELEKEAPO