Ngathuyavome
Member
- Aug 15, 2013
- 85
- 20
Toa ushahidi siyo unaongea kama kasuku tu.
Mimi siijui hiyo shule ya tabora. Ili nime nimemnukuu ukwelikitugani ambae anasema alisoma hapo. Ila swala la mwinyi kujenga msikiti sito shangaa maana jamaa inasemekana alioa mtoto wa selondari ya jangwani wakati watu wanapiga kele wasichana waende shule.