Sisi watanzania ni watu wa kuchezewa akili na wanasiasa. Kwani aliyempa ajira ya 35 mln ni nani!? Si hao hao wenzake akina Magufuli waliomuweka Ikulu?
Kama tatizo ni mishahara Mikubwa, mbona hapunguzi mishahara ya Marais wastaafu ambao kwa kila mmoja anabeba 380milion, hivi kuna mtu analipwa pesa nyingi kama Rais hapa Tanzania!? Wabunge na mawaziri Je!? Nasikitika saana nikiona Watanzania akili zetu zinavyochezewa na hawa watu. Mbona yeye hataji mshahara wake!? Kinachotokea mimi naona ni usanii tuu.