dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,955
- 9,527
Nyie watu punguzeni majungu....CCM mbona wametawala hii NCHI zaidi ya miaka 50 bila tija yoyote mbona mnaendelea kuichagua....Angelipwa mzungu wala msingehoji kabla ya NEHEMIA mbona mlikuwa hamfunguia midomo yenu Wabongo sijui tukoje au nanyie mliitaka hiyo kz mkaikosa?Watu hawapingi utendaji kazi wa mchechu bali wanapinga kiwango anacholipwa wanadai hakiendani na kile anachozalisha kwa serikali....