Tuache unafiki tuseme ukweli

Tuache unafiki tuseme ukweli

True unakuta mtu hamtunzi mke wake hamjali halaf at the same time amemkataza kufanya Kaz kisa alee watoto na hela ya matumiz haitoshi hapo bado hajampa stress za michepuko,unakuta mmama watu yupoyupo tu Hana Nuru usoni.mwanamke akitunzwa huwez kumchoka

Hakuna popote nilipozungumzia kuhusu matunzo mkuu,nimesema mke ukiwa nae lazima umchoke!wewe unaweza ukafunga safari kutoka Dar hadi Kilimanjaro ukaone mlima lkn mtu wa Kilimanjaro anakuona ndezi
 
Hata nyie huwa tunawachoka sema tunaishi na nyie kwa kuwavumilia tu siku ziende mbele, na pia ka ulimpendea ngono lazima uchoke tu, Mimi kwa umri wangu na yote niliyopotia hamna jipya Bora utulie na mtu anayekuelewa na kukuheshimu

Yes!sema sisi wanaume ndio huwa tunawachoka zaidi
 
Wee jamaa kama umeoa basi hakuwa chaguo lako. Mazingira, utoto au kukosa umakini ulipelekea kuangukia kwa huyo! Mke wako ni kama mwili wako mwenyewe! Utachokaje mwili wako? Mke wako unammiss kila dakika! Lazima ujue yuko wapi na usalama wake! Zaidi ya yote lazima awepo kitandani wakati wa kulala 'that is where she belong'. Wale wanaowachoka wake zenu jua kuna mahali mmekwama

Tatizo sio chaguo mkuu,kuna kipindi hata umuoe beyonce lazima utamchoka tu
 
Ndugu zangu tuache unafiki kabisa tusime ukweli,yaani hata uowe mke pisi kali mrembo sana,ama Mwanamke mchapakazi anayejitambua!

Mwanamke wife material,mwanamke mwenye sifa zote,ukweli ni kwamba mke anachosha jamani duh!

Kuishi na mwanamke nyumba moja, chumba kimoja, kitanda kimoja yaani itafika kipindi utamchoka hata wakati wa sex utaona kama unapiga push up tu!

Mwanaume tuwe na tabia ya kusafiri mara kwa mara mke ukikaa nae siku zote 365 za mwaka utamchoka sana na kumchukia bure.
Hapo ndipo utaona faida ya kuwa na mke zaidi ya mmoja.
 
Back
Top Bottom