Tuache unafiki tuseme ukweli

Tuache unafiki tuseme ukweli

Hata nyie huwa tunawachoka sema tunaishi na nyie kwa kuwavumilia tu siku ziende mbele, na pia ka ulimpendea ngono lazima uchoke tu, Mimi kwa umri wangu na yote niliyopotia hamna jipya Bora utulie na mtu anayekuelewa na kukuheshimu
 
Ndugu zangu tuache unafiki kabisa tusime ukweli,yaani hata uowe mke pisi kali mrembo sana,ama Mwanamke mchapakazi anayejitambua!

Mwanamke wife material,mwanamke mwenye sifa zote,ukweli ni kwamba mke anachosha jamani duh!

Kuishi na mwanamke nyumba moja, chumba kimoja, kitanda kimoja yaani itafika kipindi utamchoka hata wakati wa sex utaona kama unapiga push up tu!

Mwanaume tuwe na tabia ya kusafiri mara kwa mara mke ukikaa nae siku zote 365 za mwaka utamchoka sana na kumchukia bure.
Hata wewe anakuchoka mkuu

"At every action there is equal and opposite reaction"
 
Hata nyie huwa tunawachoka sema tunaishi na nyie kwa kuwavumilia tu siku ziende mbele, na pia ka ulimpendea ngono lazima uchoke tu, Mimi kwa umri wangu na yote niliyopotia hamna jipya Bora utulie na mtu anayekuelewa na kukuheshimu
Una umri gani
 
Uzi wa kizembe huu....

Ukigongewa mke unyamaze kimya. Mpe thamani yake uone kama utamchoka..... Unless uwe na matatizo yako binafsi.

Mke ili anoge mtunze vzr kuanzia lishe mavazi, nywele na ngozi. Utakuja kuwaomba mods wabadilishe title ya hii thread
Umemaliza kila kitu. Mwenye masikio na asikie.
 
Ndugu zangu tuache unafiki kabisa tusime ukweli,yaani hata uowe mke pisi kali mrembo sana,ama Mwanamke mchapakazi anayejitambua!

Mwanamke wife material,mwanamke mwenye sifa zote,ukweli ni kwamba mke anachosha jamani duh!

Kuishi na mwanamke nyumba moja, chumba kimoja, kitanda kimoja yaani itafika kipindi utamchoka hata wakati wa sex utaona kama unapiga push up tu!

Mwanaume tuwe na tabia ya kusafiri mara kwa mara mke ukikaa nae siku zote 365 za mwaka utamchoka sana na kumchukia bure.
Hii ni kweli aisee ndio maana mashemeji hawachoshi maana hupigi kila siku ni mpaka chance ipatikane😂
 
Wee jamaa kama umeoa basi hakuwa chaguo lako. Mazingira, utoto au kukosa umakini ulipelekea kuangukia kwa huyo! Mke wako ni kama mwili wako mwenyewe! Utachokaje mwili wako? Mke wako unammiss kila dakika! Lazima ujue yuko wapi na usalama wake! Zaidi ya yote lazima awepo kitandani wakati wa kulala 'that is where she belong'. Wale wanaowachoka wake zenu jua kuna mahali mmekwama
 
True unakuta mtu hamtunzi mke wake hamjali halaf at the same time amemkataza kufanya Kaz kisa alee watoto na hela ya matumiz haitoshi hapo bado hajampa stress za michepuko,unakuta mmama watu yupoyupo tu Hana Nuru usoni.mwanamke akitunzwa huwez kumchoka
Sure, wanawake ni Tunu. Tuwajali na kuwatunza.
 
Hata nyie huwa tunawachoka sema tunaishi na nyie kwa kuwavumilia tu siku ziende mbele, na pia ka ulimpendea ngono lazima uchoke tu, Mimi kwa umri wangu na yote niliyopotia hamna jipya Bora utulie na mtu anayekuelewa na kukuheshimu
Eti huwa mnatuchoka ee booo!!!, Wakati huwa mnatulilia.
 
Back
Top Bottom