me and I
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 1,540
- 1,357
KabisaUjakua bado kufikia ukomavu wa mwanaume anayestahili kuoa
KabisaUjakua bado kufikia ukomavu wa mwanaume anayestahili kuoa
UbarikiweSure, wanawake ni Tunu. Tuwajali na kuwatunza.
Sio lazima kusafiri kwenda mbali, mnaweza mkaenda Lodge, au sehemu nyingine yoyote, pia sio kila siku mnafanyia sex chumbani, mnaweza kwenda hata ziziniNdugu zangu tuache unafiki kabisa tusime ukweli,yaani hata uowe mke pisi kali mrembo sana,ama Mwanamke mchapakazi anayejitambua!
Mwanamke wife material,mwanamke mwenye sifa zote,ukweli ni kwamba mke anachosha jamani duh!
Kuishi na mwanamke nyumba moja, chumba kimoja, kitanda kimoja yaani itafika kipindi utamchoka hata wakati wa sex utaona kama unapiga push up tu!
Mwanaume tuwe na tabia ya kusafiri mara kwa mara mke ukikaa nae siku zote 365 za mwaka utamchoka sana na kumchukia bure.
Hapana mkuuSamahani madam..
Hiyo Avatar ni wewe?
#YNWA
Ndo akashauri wapeane likizo ili kurudisha hamasaHata nyie huwa tunawachoka sema tunaishi na nyie kwa kuwavumilia tu siku ziende mbele, na pia ka ulimpendea ngono lazima uchoke tu, Mimi kwa umri wangu na yote niliyopotia hamna jipya Bora utulie na mtu anayekuelewa na kukuheshimu
Kura ngapi zinahitajika ili hii hoja ipitishwe

Uwe unabadilisha na mazingira ya kulala na mkeo wakati mwingine unaenda hotelini au msafiri hata Wkend mnaenda mkoa fulani inaleta hamasa, hafu usiache show za nje zinaleta ufanisi nyumbani
KWA HIYO UNASHAURI TUSIOE AU???
Muhimu kuomba sheria ipitishwe wanaume tuwe tunaoa wake watatu mpaka wanne , hata wakristo
Natumaini zinakaribia200 mkuu![]()
Kabisa sheria ndoa zibadilishwe angalau 2 tuMuhimu kuomba sheria ipitishwe wanaume tuwe tunaoa wake watatu mpaka wanne , hata wakristo
Mke mmoja anatosha.
Kama huu ni unafiki acha tuishi nao tuu
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Kuna mtu anamaliza mwaka vibaya huko
Mwisho wa mwaka huu watu wanatafuta sababu za kuchepuka
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app