Tuache unafiki kipato cha tsh 7,000 kwa siku ni umasikini wa kutupa

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,609
8,753
Watanzania tutafute suluhisho na sio kuwa wanafiki. Kipato cha tsh 7,000 kwa siku hakitoshi na ni umasikini. Tunaweza kutofautiana kwenye siasa lakini sio ukweli hili. Badala ya kujidanganya tutafute mbinu bora. Vilevile boda boda hazija tengenezwa kwasababu ya usafiri wa abiria na inatakiwa kuwa na lesini maalumu za bodaboda ili kupunguza ajali ambazo zingeweza kuepukika.

Tusiweke utamaduni wa ubishi usio na msingi hata kwa mambo yaliyo wazi.

Lakini tuulize wataalamu wa afya kama ni vizuri kuendesha Pikipiki kwa masaa 12 kwa siku sita au saba tuone watasemaje. Bodaboda inatakiwa kuwa kama kazi za mpito na jamii zetu zinatakiwa kufikiria mbinu tofauti.

Lakini Mama Samia anajaribu sana kuanzia kwenye Veta na mashamba ya mikakati lakini hii haina maana Lema anachosema sio sawa.

Lakini tumeona umuhimu wa uhuru na mikutano kuruhusiwa sasa tuna mawazo tofauti ya kujadili ili tuwe na jamii bora. Kwanini huu mjadala hauja jadiliwa mpaka leo Lema ndiyo aseme ?

Niongezee tu hapa mimi naamini waendesha bodaboda wataweza kuwa viongozi wa baadae. Mimi mwaka 2000 nilikuwa naingiza kwa pesa za Tsh 95,000 kwa siku. Leo hii kipato changu kwa siku moja ni Tsh 850,000 kabla ya makato. Somo ni kwamba inawezekana lakini lazima ukubali hali halisi
 
Watanzania tutafute suluhisho na sio kuwa wanafiki. Kipato cha tsh 7,000 kwa siku hakitoshi na ni umasikini. Tunaweza kutofautiana kwenye siasa lakini sio ukweli hili. Badala ya kujidanganya tutafute mbinu bora. Vilevile boda boda hazija tengenezwa kwasababu ya usafiri wa abiria na inatakiwa kuwa na lesini maalumu za bodaboda ili kupunguza ajali ambazo zingeweza kuepukika.

Tusiweke utamaduni wa ubishi usio na msingi hata kwa mambo yaliyo wazi.

Lakini tuulize wataalamu wa afya kama ni vizuri kuendesha Pikipiki kwa masaa 12 kwa siku sita au saba tuone watasemaje. Bodaboda inatakiwa kuwa kama kazi za mpito na jamii zetu zinatakiwa kufikiria mbinu tofauti.

Lakini Mama Samia anajaribu sana kuanzia kwenye Veta na mashamba ya mikakati lakini hii haina maana Lema anachosema sio sawa.

Lakini tumeona umuhimu wa uhuru na mikutano kuruhusiwa sasa tuna mawazo tofauti ya kujadili ili tuwe na jamii bora. Kwanini huu mjadala hauja jadiliwa mpaka leo Lema ndiyo aseme ?
7000 ni Bei ya ruti Moja tu ya bodaboda
 
Watanzania tutafute suluhisho na sio kuwa wanafiki. Kipato cha tsh 7,000 kwa siku hakitoshi na ni umasikini. Tunaweza kutofautiana kwenye siasa lakini sio ukweli hili. Badala ya kujidanganya tutafute mbinu bora. Vilevile boda boda hazija tengenezwa kwasababu ya usafiri wa abiria na inatakiwa kuwa na lesini maalumu za bodaboda ili kupunguza ajali ambazo zingeweza kuepukika.

Tusiweke utamaduni wa ubishi usio na msingi hata kwa mambo yaliyo wazi.

Lakini tuulize wataalamu wa afya kama ni vizuri kuendesha Pikipiki kwa masaa 12 kwa siku sita au saba tuone watasemaje. Bodaboda inatakiwa kuwa kama kazi za mpito na jamii zetu zinatakiwa kufikiria mbinu tofauti.

Lakini Mama Samia anajaribu sana kuanzia kwenye Veta na mashamba ya mikakati lakini hii haina maana Lema anachosema sio sawa.

Lakini tumeona umuhimu wa uhuru na mikutano kuruhusiwa sasa tuna mawazo tofauti ya kujadili ili tuwe na jamii bora. Kwanini huu mjadala hauja jadiliwa mpaka leo Lema ndiyo aseme ?
Kiukweli bodaboda sio kazi rasmi ni vile tu maisha yamekuwa magumu , ajira hakuna na mabadiliko ya kimaisha, ongezeko la idadi ta watu inafanya tufanye chochote ili maisha yaende.
Kuendesha pikipiki muda wote kila siku kwa mwaka ...miaka.. si nzuri sana kiafya na kiusalama ukilinganisha na vyombo vingine vya usafiri.
 
Bodaboda gani anapata elfu 7 tu kwa siku ?
Bodaboda analipa kwa boss elfu 10 bado anabaki na hela yake Kama elfu 10 au zaidi..Kama pikipiki Ni ya kwake anapata zaidi ya elfu 15 kwa siku..
 
Watanzania tutafute suluhisho na sio kuwa wanafiki. Kipato cha tsh 7,000 kwa siku hakitoshi na ni umasikini. Tunaweza kutofautiana kwenye siasa lakini sio ukweli hili. Badala ya kujidanganya tutafute mbinu bora. Vilevile boda boda hazija tengenezwa kwasababu ya usafiri wa abiria na inatakiwa kuwa na lesini maalumu za bodaboda ili kupunguza ajali ambazo zingeweza kuepukika.

Tusiweke utamaduni wa ubishi usio na msingi hata kwa mambo yaliyo wazi.

Lakini tuulize wataalamu wa afya kama ni vizuri kuendesha Pikipiki kwa masaa 12 kwa siku sita au saba tuone watasemaje. Bodaboda inatakiwa kuwa kama kazi za mpito na jamii zetu zinatakiwa kufikiria mbinu tofauti.

Lakini Mama Samia anajaribu sana kuanzia kwenye Veta na mashamba ya mikakati lakini hii haina maana Lema anachosema sio sawa.

Lakini tumeona umuhimu wa uhuru na mikutano kuruhusiwa sasa tuna mawazo tofauti ya kujadili ili tuwe na jamii bora. Kwanini huu mjadala hauja jadiliwa mpaka leo Lema ndiyo aseme ?
Umasikini wa kutupa wapi?
 
Bodaboda gani anapata elfu 7 tu kwa siku ?
Bodaboda analipa kwa boss elfu 10 bado anabaki na hela yake Kama elfu 10 au zaidi..Kama pikipiki Ni ya kwake anapata zaidi ya elfu 15 kwa siku..

Sasa kama anabaki ya elfu kumi nayo unaona ni pesa ndugu yangu 🥲
 
Kuna mambo mtu anaweza zungumzia kwasababu hajapewa nafasi ya kutenda, laiti angepewa...

Talk is Cheap.

Hayo mashamba ya mkakati yanaweza kuajiri bodaboda wote Tanzania?

Kama hayawezi, Lema hakutakiwa kutumia neno laana kwenye kauli yake, ule ulikuwa ni ujuaji wa wenge la ulaya tu, kwangu amewakosea wanaofanya ile kazi kutafuta mkate wao.
 
Watanzania tutafute suluhisho na sio kuwa wanafiki. Kipato cha tsh 7,000 kwa siku hakitoshi na ni umasikini. Tunaweza kutofautiana kwenye siasa lakini sio ukweli hili. Badala ya kujidanganya tutafute mbinu bora. Vilevile boda boda hazija tengenezwa kwasababu ya usafiri wa abiria na inatakiwa kuwa na lesini maalumu za bodaboda ili kupunguza ajali ambazo zingeweza kuepukika.

Tusiweke utamaduni wa ubishi usio na msingi hata kwa mambo yaliyo wazi.

Lakini tuulize wataalamu wa afya kama ni vizuri kuendesha Pikipiki kwa masaa 12 kwa siku sita au saba tuone watasemaje. Bodaboda inatakiwa kuwa kama kazi za mpito na jamii zetu zinatakiwa kufikiria mbinu tofauti.

Lakini Mama Samia anajaribu sana kuanzia kwenye Veta na mashamba ya mikakati lakini hii haina maana Lema anachosema sio sawa.

Lakini tumeona umuhimu wa uhuru na mikutano kuruhusiwa sasa tuna mawazo tofauti ya kujadili ili tuwe na jamii bora. Kwanini huu mjadala hauja jadiliwa mpaka leo Lema ndiyo aseme ?

Niongezee tu hapa mimi naamini waendesha bodaboda wataweza kuwa viongozi wa baadae. Mimi mwaka 2000 nilikuwa naingiza kwa pesa za Tsh 95,000 kwa siku. Leo hii kipato changu kwa siku moja ni Tsh 850,000 kabla ya makato. Somo ni kwamba inawezekana lakini lazima ukubali hali halisi
 
Unaishi vipi kwa 7,000 kwa siku? Kulipa kodi, kula, umeme, simu, afya nipe majibu. Kama wewe unaingiza 7,000 na unaona ni poa si shangai ni matatizo ya usongo ambayo yanatokana na matatizo hivyo sita kubishia sana. Ni sawa na kubishana na mgojwa
Na ndiyo maana ukifuatilia sana haya mambo, unajikuta huna jibu,

Hivi unajua masikini huwa haugui ovyo kama nyinyi majizi na waporaji wa mali za umma?
 
Back
Top Bottom