Watanzania tutafute suluhisho na sio kuwa wanafiki. Kipato cha tsh 7,000 kwa siku hakitoshi na ni umasikini. Tunaweza kutofautiana kwenye siasa lakini sio ukweli hili. Badala ya kujidanganya tutafute mbinu bora. Vilevile boda boda hazija tengenezwa kwasababu ya usafiri wa abiria na inatakiwa kuwa na lesini maalumu za bodaboda ili kupunguza ajali ambazo zingeweza kuepukika.
Tusiweke utamaduni wa ubishi usio na msingi hata kwa mambo yaliyo wazi.
Lakini tuulize wataalamu wa afya kama ni vizuri kuendesha Pikipiki kwa masaa 12 kwa siku sita au saba tuone watasemaje. Bodaboda inatakiwa kuwa kama kazi za mpito na jamii zetu zinatakiwa kufikiria mbinu tofauti.
Lakini Mama Samia anajaribu sana kuanzia kwenye Veta na mashamba ya mikakati lakini hii haina maana Lema anachosema sio sawa.
Lakini tumeona umuhimu wa uhuru na mikutano kuruhusiwa sasa tuna mawazo tofauti ya kujadili ili tuwe na jamii bora. Kwanini huu mjadala hauja jadiliwa mpaka leo Lema ndiyo aseme ?
Niongezee tu hapa mimi naamini waendesha bodaboda wataweza kuwa viongozi wa baadae. Mimi mwaka 2000 nilikuwa naingiza kwa pesa za Tsh 95,000 kwa siku. Leo hii kipato changu kwa siku moja ni Tsh 850,000 kabla ya makato. Somo ni kwamba inawezekana lakini lazima ukubali hali halisi
Tusiweke utamaduni wa ubishi usio na msingi hata kwa mambo yaliyo wazi.
Lakini tuulize wataalamu wa afya kama ni vizuri kuendesha Pikipiki kwa masaa 12 kwa siku sita au saba tuone watasemaje. Bodaboda inatakiwa kuwa kama kazi za mpito na jamii zetu zinatakiwa kufikiria mbinu tofauti.
Lakini Mama Samia anajaribu sana kuanzia kwenye Veta na mashamba ya mikakati lakini hii haina maana Lema anachosema sio sawa.
Lakini tumeona umuhimu wa uhuru na mikutano kuruhusiwa sasa tuna mawazo tofauti ya kujadili ili tuwe na jamii bora. Kwanini huu mjadala hauja jadiliwa mpaka leo Lema ndiyo aseme ?
Niongezee tu hapa mimi naamini waendesha bodaboda wataweza kuwa viongozi wa baadae. Mimi mwaka 2000 nilikuwa naingiza kwa pesa za Tsh 95,000 kwa siku. Leo hii kipato changu kwa siku moja ni Tsh 850,000 kabla ya makato. Somo ni kwamba inawezekana lakini lazima ukubali hali halisi