Tuache Ufyatu: Ni Kama Bado Tunadeka...

Kifupi hawajui wanachotaka.....

Hizi tabia zao zimenifanyi niamini JPM alifaa kuiongoza hii nchi hata miaka 50 ndio vile tu mapenzi ya Mungu....kifupi tunahitaji Rais mtemi
mndava na katili ili akili zikae sawa kidogo..
Wanataka katiba mpya
 
U

Ikitengenezwa katiba mpya.Watasema sio yenyewe.Wabongo wengi hawajielewi.Ni kudeka tu.
Tumejaribu kila kitu isipokuwa katiba mpya itokanayo na wananchi. Hakuna hasara yoyote tutapata tukijaribu na katiba mpya.
 
Nina imani mlio wengi mnataka katiba mpya ili tu kuweza kukidhi mahitaji yenu ya kisiada lakini ukweli hatuhitaji katiba mpya ili twende vizuri kama nchi bali tuwe tunachagua viongozi walio makini. Na viongozi hao kusema ukweli ha wako nje ya CCM.
Matakwa yapi ya kisiasa?
 
Wanataka katiba mpya

tukiwapa nayo watakuambia JWTZ ibinafsishwe na jeshi la polisi lisiwepo tutajilinda wenyewe. nk...kifupi huwezi kumridhisha mlalamishi kama ilivyo kwa mwanamke...
 
Mimi siyo mwanasiasa Mkuu, kila mtu na kazi yake, hawa tunaowategemea wameshindwa kazi, CCM watatawala muda mwingi sababu ya ufake wa hawa wapinzani wetu
Acha kujichanganya.
1-weye si mwanasiasa
2-kila mtu na kazi yake
3-halafu unawategemea haohao wanasiasa
4-bado umeona wameshindwa(wakati huijui siasa)na unaona ni fake
5-unapenda CCM itawale milele
Ari yuu oukei mista?
 
Na kama sio zengwe Slaa alikuwa anakuwa Rais wa Jamhuri ya Tanzania.

hata Lyatonga alikuwa anakuwa Rais, hata Mbowe alishinda, hata Lipumba alishinda, hata Lowasa alishinda, hata Lisu alishinda...walishinda hawa wote asubuhi tu..hahahahahaha

nguvu ya umma hailazimishwi inakujaga tu yenyewe kama maji, siku watanzania wakiichoka CCM wataitoa tu tena kirahisi mno, kwa sasa bado hawajaichoka na hata kama wameichoka hawajaona mbadala..
 
hata Lyatonga alikuwa anakuwa Rais, hata Mbowe alishinda, hata Lipumba alishinda, hata Lowasa alishinda, hata Lisu alishinda...walishinda hawa wote asubuhi tu..hahahahahaha

nguvu ya umma hailazimishwi inakujaga tu yenyewe kama maji, siku watanzania wakiichoka CCM wataitoa tu tena kirahisi mno, kwa sasa bado hawajaichoka na hata kama wameichoka hawajaona mbadala..
Sasa kama ni hivi ni kwa nini wasiweke tume huru ya uchaguzi? Wanaogopa nini?
 
Acha kujichanganya.
1-weye si mwanasiasa
2-kila mtu na kazi yake
3-halafu unawategemea haohao wanasiasa
4-bado umeona wameshindwa(wakati huijui siasa)na unaona ni fake
5-unapenda CCM itawale milele
Ari yuu oukei mista?
Kila mtu na kazi yake kaka,kutokuwa mwanasiasa haimaanisi hauguswi na maamuzi yao ya kisiasa, leo hii kila mtu anaguswa na ujenzi wa SGR, ni uamuzi wa mwanasiasa
 
Nashindwa hata kuelewa kama ni kudeka au ni kutaka kudeka... kabla ya Rais Magufuli watu walilalamika sana na kutaka Rais mkali asiyecheka cheka, na mtu ambaye aliwaambia mapema kabisa kuwa yeye akiwa Rais watu "watalimia meno". Watu walishangalia na kutabasamu wakidhani aliwatania wakati hakuwahi kuwa na rekodi ya utani utani hivi. Watu waliomjua Magufuli waliombea aje awe Rais na wengine walidhania labda akiwa Rais atakuwa tofauti; well hakuwa na zaidi akawa mkali kuliko watu walivyomdhania. Wakaanza kulia...

Labda sala zao zilijibiwa Rais Magufuli akafariki akaja "Mama". Mama ambaye wengine walikuwa wanaombea kila kukicha aje kuwa Rais. Akawa Rais na mara vigelegele vya shangwe vikaibuka "mama mama". WEngine wakajikuta wanaimba kama Christian Bella "Nani kama mama". Wengine wakasema "mama tugombeze tu lakini tupe na soda kidogo"! Wengine wakasema baada ya mama kutengua watu fulani "mama umekunywa chai?" Yaani, mama hakuwa na kosa na asingeweza kuwaudhi. Kila kitu ikawa "ametufuta machozi" mara "sura zinatabasamu" mara "fedha imeanza kuingia mitaani" mara "mwendazake kaenda na yake". Wengine tunawaangalia tu...

Nilisema wakati ule "taifa liko salama" na sikuwa na shaka kuwa ajenda inayoendelea kutekelezwa ni ile ile ya Magufuli; watu wakanijia juu; nikawaangalia nikasema watu wanakumbukumbu ndogo. Watu wengine wakawa wanazungumza (na wengine wanaendelea kuzungumza) kana kwamba Rais Samia alishinda uchaguzi akiwa amebeba ajenda ya Upinzani. Mara mambo ya Katiba Mpya yakafutika; mara wakamwona kawageuka. Wengine walidhania sasa kila kitu kiko kama zamani; watu wakalijaribu zari; wakambeep mama na kuwa wamesahau kabisa aliwaambia "ukinizingua na mimi nitakuzingua"!

Sasa hata miezi haijaisha watu wamegeuka kabisa; sasa mama "anahujumiwa" mara "mama siyo Rais" kuna watu nyuma yake. Wanamkumbusha kuwa yeye ni Rais kamili; wakati yeye mwenyewe aliwaambia ni Rais kamili. Kwa maneno mengine hakuna kinachotokea nje yake. Kama Rais Magufuli alibebeshwa kila kinachofanyika nchi nzima ndugu zetu wanataka kumnyima Rais Samia haki hiyo hiyo! Ndani yake kuna dharau fulani hivi na kebeji; kwamba kwa vile ni mwanamke basi hawezi kuwa mkali na kufanya vitu vinavyoonekana vya ukali; wanaona mama mpole mbona kawa mkali!

Unaweza kuona ni kudeka fulani hivi tulikokuwa tunataka.. watu wanataka wadeke; wasifokewefokewe... na mama wala hafoki.. lakini watu hawadeki sana... watu wanataka wasinuniwenuniwe, hawataki wasemwesemwe (wengine wakisemwa wanaweza kuanguka kama yule jamaa yake Jaffo).

Sijui wanataka nini; tuache ufyatu... ulichopewa ndicho ulichonacho...
Ha ha haaa
Ulienda msibani bro? Hatimaye
 
Katiba Mpya itafanya nini na kwanini unafikiri CCM ina maslahi ya kuwa na Katiba Mpya? Wameweza kutawala kwa miaka sitini hivi kwanini leo waamue kuja na Katiba Mpya kabisa?
Mzee tunaokuambiga' umepoteza mwelekeo huwa tuna maanisha ...yaani wewe unauliza Katiba itafanya Nini...!🤭🤭
 
tukiwapa nayo watakuambia JWTZ ibinafsishwe na jeshi la polisi lisiwepo tutajilinda wenyewe. nk...kifupi huwezi kumridhisha mlalamishi kama ilivyo kwa mwanamke...
" Tukiwapa" wewe nani?
Hauko kwenye nafasi ya kumpa mtu chochote wewe kapuku. Endelea kufanya umachinga tu huku ukilipa tozo vizuri
 
Tozo na miamala unaijua wewe?

Uonevu wa jeshi la polisi dhidi ya wapinzani huuoni?

Bidhaa muhimu kupanda bei unakujua wewe?

Hatutaki tabasamu au hasira ya mtu tunataka atawale kwa mujibu wa sheria nothing more
 
Standard ambazo baadhi ya watu wwliweka kwa mama Samia zilikuwa juu sana. Mimi Toka mwanzo niliona udhaifu mkubwa
 
Nashindwa hata kuelewa kama ni kudeka au ni kutaka kudeka... kabla ya Rais Magufuli watu walilalamika sana na kutaka Rais mkali asiyecheka cheka, na mtu ambaye aliwaambia mapema kabisa kuwa yeye akiwa Rais watu "watalimia meno". Watu walishangalia na kutabasamu wakidhani aliwatania wakati hakuwahi kuwa na rekodi ya utani utani hivi. Watu waliomjua Magufuli waliombea aje awe Rais na wengine walidhania labda akiwa Rais atakuwa tofauti; well hakuwa na zaidi akawa mkali kuliko watu walivyomdhania. Wakaanza kulia...

Labda sala zao zilijibiwa Rais Magufuli akafariki akaja "Mama". Mama ambaye wengine walikuwa wanaombea kila kukicha aje kuwa Rais. Akawa Rais na mara vigelegele vya shangwe vikaibuka "mama mama". WEngine wakajikuta wanaimba kama Christian Bella "Nani kama mama". Wengine wakasema "mama tugombeze tu lakini tupe na soda kidogo"! Wengine wakasema baada ya mama kutengua watu fulani "mama umekunywa chai?" Yaani, mama hakuwa na kosa na asingeweza kuwaudhi. Kila kitu ikawa "ametufuta machozi" mara "sura zinatabasamu" mara "fedha imeanza kuingia mitaani" mara "mwendazake kaenda na yake". Wengine tunawaangalia tu...

Nilisema wakati ule "taifa liko salama" na sikuwa na shaka kuwa ajenda inayoendelea kutekelezwa ni ile ile ya Magufuli; watu wakanijia juu; nikawaangalia nikasema watu wanakumbukumbu ndogo. Watu wengine wakawa wanazungumza (na wengine wanaendelea kuzungumza) kana kwamba Rais Samia alishinda uchaguzi akiwa amebeba ajenda ya Upinzani. Mara mambo ya Katiba Mpya yakafutika; mara wakamwona kawageuka. Wengine walidhania sasa kila kitu kiko kama zamani; watu wakalijaribu zari; wakambeep mama na kuwa wamesahau kabisa aliwaambia "ukinizingua na mimi nitakuzingua"!

Sasa hata miezi haijaisha watu wamegeuka kabisa; sasa mama "anahujumiwa" mara "mama siyo Rais" kuna watu nyuma yake. Wanamkumbusha kuwa yeye ni Rais kamili; wakati yeye mwenyewe aliwaambia ni Rais kamili. Kwa maneno mengine hakuna kinachotokea nje yake. Kama Rais Magufuli alibebeshwa kila kinachofanyika nchi nzima ndugu zetu wanataka kumnyima Rais Samia haki hiyo hiyo! Ndani yake kuna dharau fulani hivi na kebeji; kwamba kwa vile ni mwanamke basi hawezi kuwa mkali na kufanya vitu vinavyoonekana vya ukali; wanaona mama mpole mbona kawa mkali!

Unaweza kuona ni kudeka fulani hivi tulikokuwa tunataka.. watu wanataka wadeke; wasifokewefokewe... na mama wala hafoki.. lakini watu hawadeki sana... watu wanataka wasinuniwenuniwe, hawataki wasemwesemwe (wengine wakisemwa wanaweza kuanguka kama yule jamaa yake Jaffo).

Sijui wanataka nini; tuache ufyatu... ulichopewa ndicho ulichonacho...
Rubbish
 
Nashindwa hata kuelewa kama ni kudeka au ni kutaka kudeka... kabla ya Rais Magufuli watu walilalamika sana na kutaka Rais mkali asiyecheka cheka, na mtu ambaye aliwaambia mapema kabisa kuwa yeye akiwa Rais watu "watalimia meno". Watu walishangalia na kutabasamu wakidhani aliwatania wakati hakuwahi kuwa na rekodi ya utani utani hivi. Watu waliomjua Magufuli waliombea aje awe Rais na wengine walidhania labda akiwa Rais atakuwa tofauti; well hakuwa na zaidi akawa mkali kuliko watu walivyomdhania. Wakaanza kulia...

Labda sala zao zilijibiwa Rais Magufuli akafariki akaja "Mama". Mama ambaye wengine walikuwa wanaombea kila kukicha aje kuwa Rais. Akawa Rais na mara vigelegele vya shangwe vikaibuka "mama mama". WEngine wakajikuta wanaimba kama Christian Bella "Nani kama mama". Wengine wakasema "mama tugombeze tu lakini tupe na soda kidogo"! Wengine wakasema baada ya mama kutengua watu fulani "mama umekunywa chai?" Yaani, mama hakuwa na kosa na asingeweza kuwaudhi. Kila kitu ikawa "ametufuta machozi" mara "sura zinatabasamu" mara "fedha imeanza kuingia mitaani" mara "mwendazake kaenda na yake". Wengine tunawaangalia tu...

Nilisema wakati ule "taifa liko salama" na sikuwa na shaka kuwa ajenda inayoendelea kutekelezwa ni ile ile ya Magufuli; watu wakanijia juu; nikawaangalia nikasema watu wanakumbukumbu ndogo. Watu wengine wakawa wanazungumza (na wengine wanaendelea kuzungumza) kana kwamba Rais Samia alishinda uchaguzi akiwa amebeba ajenda ya Upinzani. Mara mambo ya Katiba Mpya yakafutika; mara wakamwona kawageuka. Wengine walidhania sasa kila kitu kiko kama zamani; watu wakalijaribu zari; wakambeep mama na kuwa wamesahau kabisa aliwaambia "ukinizingua na mimi nitakuzingua"!

Sasa hata miezi haijaisha watu wamegeuka kabisa; sasa mama "anahujumiwa" mara "mama siyo Rais" kuna watu nyuma yake. Wanamkumbusha kuwa yeye ni Rais kamili; wakati yeye mwenyewe aliwaambia ni Rais kamili. Kwa maneno mengine hakuna kinachotokea nje yake. Kama Rais Magufuli alibebeshwa kila kinachofanyika nchi nzima ndugu zetu wanataka kumnyima Rais Samia haki hiyo hiyo! Ndani yake kuna dharau fulani hivi na kebeji; kwamba kwa vile ni mwanamke basi hawezi kuwa mkali na kufanya vitu vinavyoonekana vya ukali; wanaona mama mpole mbona kawa mkali!

Unaweza kuona ni kudeka fulani hivi tulikokuwa tunataka.. watu wanataka wadeke; wasifokewefokewe... na mama wala hafoki.. lakini watu hawadeki sana... watu wanataka wasinuniwenuniwe, hawataki wasemwesemwe (wengine wakisemwa wanaweza kuanguka kama yule jamaa yake Jaffo).

Sijui wanataka nini; tuache ufyatu... ulichopewa ndicho ulichonacho...
Are you mocking us..?

If not, then hebu tuambie ni ujumbe gani unataka audience yako ipate kutoka kwenye bandiko lako hili...?

Kwamba, tuache mambo yaende kama ilivyo na tuache huko ulikokuita "kudeka?"

Au tuendelee kuishi kwa namna hii hii na tuache mambo vile vile yalivyo kwa kupiga kimya kama bubu aliyechomwa mwiba na kukosa msaada kwa kuwa sauti yake ya kuomba msaada haisikiki..?

Kama ndivyo, unadhani sisi ni mabubu kwani...??

What specific message did you intend to convey to the audience...?

As far as I know, kiongozi mbaya ni mbaya tu na haizuii watu kupiga kelele ya kuomba nafuu...

Hata akija wa pili na wa tatu na wa nne akiwa amebeba ubaya uleule, haitazuia watu kupiga kelele...!

Ndo kusema kuwa, "The Beautiful Ones Are Not Yet Born yet in Tanzania...!"
 
Back
Top Bottom