Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,054
- 3,265
Moja kwa moja kwnye Hoja.
Nimejaribu kuufuatilia mziki wa kisingeli na kujiridhisha kua mziki huu unakuzwa kwa ushabiki wa Media na wasaka Tonge , ila ni mziki usio na ladha kamili ya Burudani. Na Umetokea kwa Bahati mbaya.
1.style moja ya kuimba.. ukijaribu kusikiliza waimbaji wote wa kisingeli wanamtiriko mmoja wa maishairi, unaweza kusikiliza Nyimbo tatu kwa muunganiko na ukaambiwa Umesikiliza nyimbo tatu na usikubali,ukidhani ni moja.
2. style moja kucheza..kama ni video zote zinafanana lazima vimbu litimuke, kushika viono na kuinama .. wote the same same stle.
Naonaga ni kelele tu.
USHAURI.
Kisingeli ubaki kua Mziki wa kawaida tu in a free style way huko uswahili ila si kuulazimisha kua mziki official kwnye
Burudani ya mziki TZ.
Ukweli mzuri ila unauma.
Nimejaribu kuufuatilia mziki wa kisingeli na kujiridhisha kua mziki huu unakuzwa kwa ushabiki wa Media na wasaka Tonge , ila ni mziki usio na ladha kamili ya Burudani. Na Umetokea kwa Bahati mbaya.
1.style moja ya kuimba.. ukijaribu kusikiliza waimbaji wote wa kisingeli wanamtiriko mmoja wa maishairi, unaweza kusikiliza Nyimbo tatu kwa muunganiko na ukaambiwa Umesikiliza nyimbo tatu na usikubali,ukidhani ni moja.
2. style moja kucheza..kama ni video zote zinafanana lazima vimbu litimuke, kushika viono na kuinama .. wote the same same stle.
Naonaga ni kelele tu.
USHAURI.
Kisingeli ubaki kua Mziki wa kawaida tu in a free style way huko uswahili ila si kuulazimisha kua mziki official kwnye
Burudani ya mziki TZ.
Ukweli mzuri ila unauma.
