Legeza mwendo
JF-Expert Member
- Oct 8, 2016
- 519
- 655
Bora hata mduara kuliko singeli
Mimi nafikiri ungeshauri uboreshwe na si kuupiga vita. Tanzania hatuna muziki wetu wenye vionjo vya kiasili..labda kidogo wale wana Njenje (The Kilimnjaro band) ambao wanapiga muziki wenye vionjo tofauti. Hawa waliobaki band zetu wote wanataka wafanane na wakongo. Muziki wa kisasa nawenyewe wanataka wawe wamarekani, siku hizi wanahamia kinageria zaidi.. Nawakumbuka Tatunane wale walifanya muziki wa kitanzania haswa kuuboresha kwa kuchanganya na ala za kisasa na walifanya vizuri. Singeli hii ni mchiriku ulioboreshwa, ni ngoma za asili za kizaramo. Ngoma za kizaramo zinakwenda zikibadilika.. nakumbuka wakati kulikuwa na Gombe sugu, ukaja mdundiko, ukaja mnanda au mchiriku, na hii singeli ni haohao..ukiuliza wote hao wakina Shorwe mwamba,msaga sumu, manifongo wote hao utakuta asili yao huku pwani. Sio mbaya kama ukaboreshwa na sisi watanzania tukawa na asili yetu ya muziki.Moja kwa moja kwnye Hoja.
Nimejaribu kuufuatilia mziki wa kisingeli na kujiridhisha kua mziki huu unakuzwa kwa ushabiki wa Media na wasaka Tonge , ila ni mziki usio na ladha kamili ya Burudani. Na Umetokea kwa Bahati mbaya.
1.style moja ya kuimba.. ukijaribu kusikiliza waimbaji wote wa kisingeli wanamtiriko mmoja wa maishairi, unaweza kusikiliza Nyimbo tatu kwa muunganiko na ukaambiwa Umesikiliza nyimbo tatu na usikubali,ukidhani ni moja.
2. style moja kucheza..kama ni video zote zinafanana lazima vimbu litimuke, kushika viono na kuinama .. wote the same same stle.
Naonaga ni kelele tu.
USHAURI.
Kisingeli ubaki kua Mziki wa kawaida tu in a free style way huko uswahili ila si kuulazimisha kua mziki official kwnye
Burudani ya mziki TZ.
Ukweli mzuri ila unauma. [emoji122]
Wekaaaaaa ndotaaaaaooooooiii babaaaaaaaaaa!!!!!!washhhhhhhhhhhh
umenikumbusha Fid q alisema huo ni mziki wa msimu tuHautakuwa kwenye gemu muda mrefu.
Moja kwa moja kwnye Hoja.
Nimejaribu kuufuatilia mziki wa kisingeli na kujiridhisha kua mziki huu unakuzwa kwa ushabiki wa Media na wasaka Tonge , ila ni mziki usio na ladha kamili ya Burudani. Na Umetokea kwa Bahati mbaya.
1.style moja ya kuimba.. ukijaribu kusikiliza waimbaji wote wa kisingeli wanamtiriko mmoja wa maishairi, unaweza kusikiliza Nyimbo tatu kwa muunganiko na ukaambiwa Umesikiliza nyimbo tatu na usikubali,ukidhani ni moja.
2. style moja kucheza..kama ni video zote zinafanana lazima vimbu litimuke, kushika viono na kuinama .. wote the same same stle.
Naonaga ni kelele tu.
USHAURI.
Kisingeli ubaki kua Mziki wa kawaida tu in a free style way huko uswahili ila si kuulazimisha kua mziki official kwnye
Burudani ya mziki TZ.
Ukweli mzuri ila unauma. [emoji122]
utakuwa wa bara wewe!Siupendi huo mziki wa singeli
Ni kweli nyimbo za mkaanga sumu na mimi nazikubali. Wengine ni takataka tu.Napenda sana ile radha ya msaga sumu!
ingawa huwa wanasema sio singeli.....ila jamaa anakaubunifu flani kwenye mziki wake
Kwakweli nisiwe mnafiki tu , kabla ya kushauri Uboreshwa , naomba ufutwe kabisa na Kitengo cha Utamaduni na saana kijikite Upya kusaka mziki halisi wa bongo kama kweli tunaujitaji ... but kisingeli BiG NO .... tunaipigia Dunia Kelele .Mimi nafikiri ungeshauri uboreshwe na si kuupiga vita. Tanzania hatuna muziki wetu wenye vionjo vya kiasili..labda kidogo wale wana Njenje (The Kilimnjaro band) ambao wanapiga muziki wenye vionjo tofauti. Hawa waliobaki band zetu wote wanataka wafanane na wakongo. Muziki wa kisasa nawenyewe wanataka wawe wamarekani, siku hizi wanahamia kinageria zaidi.. Nawakumbuka Tatunane wale walifanya muziki wa kitanzania haswa kuuboresha kwa kuchanganya na ala za kisasa na walifanya vizuri. Singeli hii ni muziki nafikiri ni mchiriku ulioboreshwa, ni ngoma za asili za kizaramo. Ngoma za kizaramo zinakwenda zikibadilika.. nakumbuka wakati nakua kulikuwa na Gombe sugu, ukaja mdundiko, ukaja mnanda au mchiriku, na hii singeli ni haohao..ukiuliza wote hao wakina Shorwe mwamba,msaga sumu, manifongo wote hao utakuta asili yao huku pwani. Sio mbaya kama ukaboreshwa na sisi watanzania tukawa na asili yetu ya muziki.