Haha ila mosco ni kiboko
Akina Dada kibao imejianika huwaambi kitu kwenye vigodoro
Mchana watu kibao wanakaa maskani ,usku ikifika ni mwendo wa singeli
Huko utakuta kila aina ya takataka mtoto wa miaka 15 ameshika kiroba mkono wa kushoto,mkono wa kulia ana piece ya bangi halafu kiunoni ana panga ,.ukihudhuria singeli uwe mpole na kama upo mwenyewe uwe attention
Mosco kumeoza ase akina Dada hawana aibu ,.sijui muda gani wanalala wale full uhuni,usela,umalaya,.vigodoro kwao kama chai
Panya road kibao ,ukitaka kuona kama watu wamevurugwa hudhuria singeli
Ila kiuhalisia tukiacha yote singeli tamu ,ina ladha [emoji3] [emoji3] ,nimepa Miss sana mosco ..long live kisingeli
Ushauri;kama ww mstaarabu kaa mbali na moscow ,watt wako wataharibika