Tuache Kuforce Mambo, Mziki wa Kisingeli hauna Ladha

Tuache Kuforce Mambo, Mziki wa Kisingeli hauna Ladha

Napenda sana ile radha ya msaga sumu!
ingawa huwa wanasema sio singeli.....ila jamaa anakaubunifu flani kwenye mziki wake
Hapa una hoja ..Msaga sumuu Kidogo unakuta anaimba flani hivi ... Hata Kolabo anaweza akapata ...huyu angekomaa angetutafutia Test halisi ya Mziki wake ...ila wale jamaa wengine Aisee kwakweli Hapana....tunajaribu tu Kuboost mambo magumu Ila Kiuhalisia Mziki ule hauna Furaha.
Kwanza waimbaji wenyewe Wamegoma Kabisa kutakata[emoji4][emoji4][emoji4]
 
Ukiona hukielewi kitabu ujue hujatungiwa wewe.

Singeli ni mziki wa kweli na ndiyo identity yetu.
Basi kama ni kitabu ww umekielewa Vibaya . [emoji1] [emoji1] Kisingeli si mziki wetu ... usitujumuishe kwenye hizo kelele Dunia haiitaji tena Makelele.
Mara kumi iniwekee Taarabu Kuliko hawa Wapiga Kelele ...ulishawajaribu kuvaa Headphone halafu ikasikiliza huo mziki wa kisingeli . [emoji1] [emoji1] [emoji1] lazima uwe na panaldo Mfukoni kama unaitakia afya yako mema
 
Huu mzk mzuri sana

Bahati mby kova alipiga marufuku vigodoro usku sabb ya uhuni kushamiri,

Asikuambie mtu singel tamu sana ,kinondoni mosco ilikuwa kama chakula vile..wana msemo wao bora maji yakatike lkn umeme uachwe

Singeli ikipigwa lzm ucheze,style ya uchezaji wa singeli ni mzr na unavutia

Shamra shamra kibao

Nimefurahi sana nyimbo hz zimepata promo ,na zinatambulika kitaifa

Nimemiss sana singeli ase night hata uwe mbishi vp ukisikia unapigwa lzm utahudhurie tu..

Singeli ina mashabiki wengi ,vijana wa kiume wengi ,asilimia 99 wanaupenda huu mzk
Ndugu wa Wasomaji, Hayo ni maoni ya Mmoja Wa panya road akijaribu kuonyesha hisia zake.
Ukishaona mno anakutajia mtaa unaitwa MOSCO..basi weka Mbali na watoto. Huko ndipo nakuchukia haswa ,
1.wanaaharibu Sifa za mitaa kwa uhuni uhuni wanaofanya.
2.mchana wanakaa vijiweni, usiku wanakesha kukwapua na Kucheza Hizo nyimbo zao.. targert hapo ni wakishakwapua wanakimbilia hapoahala wamekusanyika kwa kisngizo cha mziki ..sasa fika pale ujidai unatafuta mwizi ..[emoji1] wanakugeuka mwizi unakua ww.
3. Binadamu wengine hawalalali kabisa , ni Mda singeli inaendelea , ni ngono kwnye kuta za watu , na wanawake kujiuza .. yaani ni karahaa .

Mtu anayeshauri eti ndio tamaduni zetu, namuona mpuuzi tu...tunaentertain ujinga.
 
Nimejilazimisha kuupenda weee..Lakini moyo unakataa katukatu!
-Kwaheri Singeli,Moyo wangu haujakuridhia!
Hakika Mkuu , hata mm nilijikuta naidhulumu nafsi.
Ukitaka kujua ule si mziki, chua Headphone/earphone weka Masikioni Kisha washa singeli..unaweza geuka kichaaa .
 
Hauna radha afu matusi mengi unaaribu kizaz sasa watoto wetu wajua hakunaga ushemeji c watachinjwa watt wetu hapo baadae huu c mzk mzur kbx
 
Singeli ni mziki wa asili wa kabila fulani, ila kuna ka kikundi ka watu fulani, wameuita singeli na kuupromoti kwa nguvu zote, ule mziki ni miongini mwa vitu vya hovyo hovyo vitakavyotambuliwa kuwepo Tanzania ikiwa wataendelea kuupiga sana, Ingawa nina uhakika, hauwezi kukamata majukwaani!

niliwahi kuweka uzi hapa wa kueleza namna nisivyopenda hata kusikikiliza redio fulani kwa ajiri ya kupiga hayo ma singeli muda mwingi mods waliufuta.

Kutumia Nguvu kubwa kuipromoti singeli ni ubinafsi, kwa sababu wanaoupromoti wana vinasaba na vionjo vyake ki kabila
 
Kuna siku abiria ktk daladala walimuamuru dereva azime radio ilofungulia mikelele ya Kisingeli
Kuna dereva mmoja wa mwendokasi asubuhi yale marefu huwa anaweka yaani umepanda kimara saa 11 ndani ya basi ni kelele tu singeli mpaka anapitiloza vituo hasikii kengele sijui.
 
kwan mleta uzi umekulia wap?,isiwe ikawa tunabishana na mtoto wa kishua au mmanyema wa kigoma,huu mziki ni wa waswahili ndo maana pwani na morogoro wanauelewa sana,nyinyi wa mikoani subirini kidogo ipo siku mtaelewa
Nganga mmetaiti kamba
Mshamba hawez elewa
NOTE:km ww ni wa pwani au umekulia pwani utanielewa tu
 
Kisingeli ni burudani ya mjini....weee wamuleba tulia.....
Burudani za vijana wa mjini si hata bangi Imo?
Hao hao vijana wa mjini si ndio Panya road?
Au si ndio wa kina Scopion?
Achilia mbali wanaojiita kina Rambo!
Wewe unajiona kuwa Dar umemaliza kila kitu wakati huna kitu siku zote ni mtumwa wa watu, uliyemwita wa mleba siyo mm ila sijapenda maneno ya kijinga namna hiyo Mbafu!
 
kwan mleta uzi umekulia wap?,isiwe ikawa tunabishana na mtoto wa kishua au mmanyema wa kigoma,huu mziki ni wa waswahili ndo maana pwani na morogoro wanauelewa sana,nyinyi wa mikoani subirini kidogo ipo siku mtaelewa
Nganga mmetaiti kamba
Mshamba hawez elewa
NOTE:km ww ni wa pwani au umekulia pwani utanielewa tu
Unaposema wa mikoani, Pwani ni mbinguni siyo ndani ya mkoa fulani? Huo Ubwege huo

Ukishasema mziki wa pwani huoni kama hujapingana na sisi tunaoupinga bali unatuunga mkono?
Au uelewa wako ni 0
Ss tumesema huo ni mziki wa kikabila wanaulazimisha uwe wa kitaifa kitu kisichowezekana!
 
Burudani za vijana wa mjini si hata bangi Imo?
Hao hao vijana wa mjini si ndio Panya road?
Au si ndio wa kina Scopion?
Achilia mbali wanaojiita kina Rambo!
Wewe unajiona kuwa Dar umemaliza kila kitu wakati huna kitu siku zote ni mtumwa wa watu, uliyemwita wa mleba siyo mm ila sijapenda maneno ya kijinga namna hiyo Mbafu!
Ndo utulie sasa km hupendi ujinga na ww usiandike ujinga....maelezo yako ya kijinga ulitaka yajibiwe vp?Tulia tukija kwenu tunakausha ingawa mnaongea kilugha hadi ofisi za umma.....!hama mji au usifungulie radio za mjini ipo kasibante fm itakuhusu......watu wamejiajiri kupitia mziki then ww unasema uhuni......?
 
Aiiii mamaaaa weka wekaaa bahahariaaa oooi oiii aiiiimamaaaaa ila ,,unafurahisha pia vimaneno vyake
 
Ndo utulie sasa km hupendi ujinga na ww usiandike ujinga....maelezo yako ya kijinga ulitaka yajibiwe vp?Tulia tukija kwenu tunakausha ingawa mnaongea kilugha hadi ofisi za umma.....!hama mji au usifungulie radio za mjini ipo kasibante fm itakuhusu......watu wamejiajiri kupitia mziki then ww unasema uhuni......?
Una akiri Butu, kukufumbua ufahamu ni hasara, natumia uwezo mkubwa wa kufikiri, nimekoma!
 
Ukimuangalia mtu anayeimba huo mzki unapata jibu huu mzki ni wa watu wa aina gani pro j alipotea kwa kweli tangu lini kukawa na hip hop singeli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom