Tujuze zaidi kuhusu hii issue ya Kamu kuonekana na wazungu wa Arsenal
Kamu ni mdau wa Arsenal
Tujuze zaidi kuhusu hii issue ya Kamu kuonekana na wazungu wa Arsenal
Hii Nchi ni shamba la bibi. Kabla ya kumpongeza huyo CEO tujiulize kachukua hatua gani dhidi ya mwizi wa pale moroko? Kama kakiuka mkataba atuambie hatua gani zilichukuliwa kabla ya kukimbilia kutafuta mwekezaji mwingine
Kampuni kongwe na yakizalendo TTCL leo imesaini mkataba wa ku supply na kujenga miundombinu mipya kutoa huduma bora ya mawasiliano ya GSM 3G NA LTE (4G).
Hii ni sehemu ya mpango mkakati wa kujijenga upya na kulivamia soko la mawasiliano kiushindani.
Tunampongeza CEO wa kampuni hii na timu yake kwa kupambana vilivyo hasa ikizingatiwa mnyonyaji wao kampuni ya simu ya moroko bado anang'ang'ania hataki kutoka.
===========================
Chanzo: Michuzi
mkuu utaya upo kwani hukuoma juzi kwenw michuzi wakiwa na uongozi wa arsenal pitia michuzi usome au huitakoo mema kampini yako mama ya mawasiliano
mkuu utaya upo kwani hukuoma juzi kwenw michuzi wakiwa na uongozi wa arsenal pitia michuzi usome au huitakoo mema kampini yako mama ya mawasiliano
Tujuze zaidi kuhusu hii issue ya Kamu kuonekana na wazungu wa Arsenal
Huawei ni official partner wa Arsenal,Huawei ni main supplier/sponsor wa TTCL upo!!!
Watanzania wategemee vitu vizuri kutoka Arsenal na Huawei!!!!
Hivi si kulikuwa na mkataba kabla? nakumbuka mwak 2007 hadi simu za huwawei tulinunua toka ttcl, na zilikuwa na line ya ttcl tu, na huduma ilikuwa nzuri ila ilikuwa baadhi ya maeneo, je ile iliishia wapi? na nini kilifanya ule mpango ukafeli? Je suluhisho gani la muda mrefu limechukuliwa baada ya ile? Je mkataba huu mpya wanatuhakikishia vipi wateja na wananchi kuwa utaleta tija na si kutunyonya?
Wajibu kwanza maswali hayo, ndio tuende stage nyingine!
Mkakati wanaotumia TTCL itakuwa ngumu sana kufanikiwa.
Kwa mazingira ya biashara ya sasa itakuwa ngumu sana kuwashinda Vodacom,TIGO, Airtel na wengine kwa kutumia mobile. Itawachukua muda mrefu sana kuvuta wateja.
Kama ambavyo wengine tumewa tukiwashauri kila siku, wao wanze na upande wa broadband kwa kuingiza super fast broadband. Vodacom/TIGO/Airtel hawana infrastructure ya kupambana upande huu. Hao wateja wa broadband, ndio baadaye wanawea hata kutumia services za TTCL zingine baada ya kuonjeshwa broadband ya uhakika n kwa be nafuu.
Kikubwa zaidi wasijifungie wenyewe na kufikiri watafanikiwa kirahisi. Kuna Watanzania wengine ambao tayari wana mafanikio kwenye Nyanja hii ndani na nje nchi, washirikiane nao.
Itakuwa vizuri sana TTCL wakifnkiwa ila waache utani na wachape kazi na kuajiri watu wenye uwezo.
Ndugu suala la miundo mbinu ilikuwa zamani hayo makampuni tajwa yana miundo mbinu iliyokuwa mikubwa nafikiri unaona mtaani jinsi wanavyolaza fiber cable kwa ushirikiano hivi punde tutarajie Data yenye kasi zaidi.
Hivi si kulikuwa na mkataba kabla? nakumbuka mwak 2007 hadi simu za huwawei tulinunua toka ttcl, na zilikuwa na line ya ttcl tu, na huduma ilikuwa nzuri ila ilikuwa baadhi ya maeneo, je ile iliishia wapi? na nini kilifanya ule mpango ukafeli? Je suluhisho gani la muda mrefu limechukuliwa baada ya ile? Je mkataba huu mpya wanatuhakikishia vipi wateja na wananchi kuwa utaleta tija na si kutunyonya?
Wajibu kwanza maswali hayo, ndio tuende stage nyingine!