TTCL yanasaini mkataba wa bilion 300 na Huawei

TTCL yanasaini mkataba wa bilion 300 na Huawei

Hii Nchi ni shamba la bibi. Kabla ya kumpongeza huyo CEO tujiulize kachukua hatua gani dhidi ya mwizi wa pale moroko? Kama kakiuka mkataba atuambie hatua gani zilichukuliwa kabla ya kukimbilia kutafuta mwekezaji mwingine

Mkuu, serikali kama mmiliki wa TTCL ndiye aliyeuza hisa kwa huyo 'mwizi wa pale moroko'. CEO wa TTCL hapo anahusikaje?
Pili, hapa hakuna mwekezaji mwingine, kuna contractor kwa ujenzi wa miundombinu bro..
 
Hii Nchi ni shamba la bibi. Kabla ya kumpongeza huyo CEO tujiulize kachukua hatua gani dhidi ya mwizi wa pale moroko? Kama kakiuka mkataba atuambie hatua gani zilichukuliwa kabla ya kukimbilia kutafuta mwekezaji mwingine

Mwizi wa Moroco ni jukumu la Serikali kupitia Wizara husika,hawa ndiyo wanatakiwa kumtimua kwasababu ndiyo walimleta na kumpa mkataba na kuendelea kumlinda!
 
Mkuu haiwezekani kampuni iliyo mufilisi, atokee muwekezaji fasta fasta hivi, ina maana yale mabilioni yanayodaiwa TTCL amekubali kuyanunua, tunajua biashara TTCL ni mbaya sana tu, iko hoi bin taabani, halafu hata mwezi haujapita ati katokea muwekezaji, tena mchina...

Siku administartion ikibadilika tuntaonamengi sana, Mungu atupe uzima tu...

Mwekezaji au Mkandarasi?
 
TATIZO LA KAMPUNI HII SIO MTAJI WALA UWEKEZAJI..... Na hapa ndipo siku zote Tanzania tunakosea
1. Tumekuwa kama kuku anayetaga mayai ......... ukachukua mayai yoote ukaacha yai moja - Bado huyu kuku anakuja kutaga HAPO HAPO!
Ni Ujinga uliopitiliza!
 
Kamu (jina la shuleni) kachukua kampuni kwenye wakati mgumu sana, i hope hii deal itakuwa a major break through kwake na kampuni kwa ujumla. I wish him all the best.
 
Kamu (jina la shuleni) kachukua kampuni kwenye wakati mgumu sana, i hope hii deal itakuwa a major break through kwake na kampuni kwa ujumla. I wish him all the best.

Ni class mate eeh? Mpe pole sana
 
Hivi watu huwa mnataka nini hakuna hata kimoja mnachoangalia kwa macho chanya kila kitu mnaangalia kwa macho hasi tu
 
Lugha yako utata mtupu.

Any way, hongera TTCL kwa hatua hiyo. Maana mhhhh! Mnasuasua mno.

mkuu utaya upo kwani hukuoma juzi kwenw michuzi wakiwa na uongozi wa arsenal pitia michuzi usome au huitakoo mema kampini yako mama ya mawasiliano
 
Kwa uelewa wangu hawa jamaa wamekubali kuikopesha ttcl kwa kujenga miundo mbinu ya mawasiliano ikiwa ni pamoja na kuingia GSM yaani pamoja na 2g,3g na 4g lte kwa mkataba wa muda fulani then ttcl afanye kazi kwa muda labda wa miaka 2 ndo aanze kulipa mkopo huo.
wengi wanafikiri kampuni imeuzwa kwa wachina si kweli , nafikiri ni jambo zuri ili maana kampuni asilimia 50 ya miundo mbinu yake ni mibovu .
 
mkuu utaya upo kwani hukuoma juzi kwenw michuzi wakiwa na uongozi wa arsenal pitia michuzi usome au huitakoo mema kampini yako mama ya mawasiliano
Tujuze zaidi kuhusu hii issue ya Kamu kuonekana na wazungu wa Arsenal
 
Mkuu, serikali kama mmiliki wa TTCL ndiye aliyeuza hisa kwa huyo 'mwizi wa pale moroko'. CEO wa TTCL hapo anahusikaje?
Pili, hapa hakuna mwekezaji mwingine, kuna contractor kwa ujenzi wa miundombinu bro..

Hivi serikali ni nani mkuu? Huyu serikali ni jitu gani kila siku mna kariri kulipa lawama?

Jibu fupi ni kwamba huyo CEO ndio serikali yenyewe, kapewa madaraka ya kuongoza shirika na moja wapo ni kuhakikisha mikataba iliyoingiwa na shirika inaleta tija. Wake up mkuu
 
Hivi watu huwa mnataka nini hakuna hata kimoja mnachoangalia kwa macho chanya kila kitu mnaangalia kwa macho hasi tu

Ni kwa sababu hakuna kitu hata kimoja serikali hii ilichofanya in a positive way kwa mashirika yake aka ya umma. Hakuna hata kimoja, hakuna hata shirika moja. Majizi ya CCM yamefilisi mashirika, yameuza hadi nyumba za kuishi watumishi. WTF, how can you chukulia positive wahuni kama hao
 
Mkuu haiwezekani kampuni iliyo mufilisi, atokee muwekezaji fasta fasta hivi, ina maana yale mabilioni yanayodaiwa TTCL amekubali kuyanunua, tunajua biashara TTCL ni mbaya sana tu, iko hoi bin taabani, halafu hata mwezi haujapita ati katokea muwekezaji, tena mchina...

Siku administartion ikibadilika tuntaonamengi sana, Mungu atupe uzima tu...

Kwani deal ni JV at TTCL wanakopeshwa kununua mitambo na technologia ya HUAWEI?
Tusichanganye.
 
Mwizi wa Moroco ni jukumu la Serikali kupitia Wizara husika,hawa ndiyo wanatakiwa kumtimua kwasababu ndiyo walimleta na kumpa mkataba na kuendelea kumlinda!

Daima ukiwapa ukweli kama huu, watawala wanakuona kuwa wewe ndiye tatizo! Wanaanza kufikiria kukupeleka mabwepande! Kwakuwa tu unahoji maslahi yao! Ova
 
Sisi kama wazalendo tukae tayari kuwa support kadri itakavyowezekana. Itabidi wafanyakazi wao wale wenye mentality ya zamani kuwa tutwafuata tu wabadilike.
 
Back
Top Bottom